Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,146
- 6,404
Unateseka sana na utaendelea kuteseka maana ile mbuzi hairudi tena.Kwanini usivumilie wewe mama yako karibu atafufuka karibuni ila ukimwi utakuwa umemmaliza sana pole sana. Vipi ulipona hakukuambukiza kweli kunauwezekano unakusumbua sana ndiyo maana unaweweseka sana hadi sasa.
Hata nyumbu mama yako hatarudiUnateseka sana na utaendelea kuteseka maana ile mbuzi hairudi tena.
Ni furaha tu 😂😂 bedui halipo tena nashangaa unakasirika.Hata nyumbu mama yako hatarudi
Kama lile limalaya lilokufa na ukimwi hahahahaha...!!Ni furaha tu 😂😂 bedui halipo tena nashangaa unakasirika.
Ni covid 😅😅😅Kama lile limalaya lilokufa na ukimwi hahahahaha...!!
Huyo aweso na mcherengwa ndio mawaziri wa hovyohovyo hawana sifa za kua mawaziri,unasema pump ya diesel ile tumeona inavutwa lita 1mHawa wasenge wanacheza saana na akili zetu, wameshatuona mazoba basi wanatupeleka peleka tu..
Inauma, inakera lakini mwishowe unajikuta unacheka kwa ujinga tulio nao wa kuendekeza hawa kenge.
Hajui huyo aiskusumbue!Unajua kusoma?
Hahahahahaaaaaaa hahaaaaaa mbavu sinaNi dhahiri kuwa maneno ya hayati JPM yana ukweli kuwa hujuma ya kufungulia maji ili yasiende kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme vya, Kihansi, Kidatu, Mtera na kwingine ndio chanzo cha mgao na tatizo la umeme hapa Bongoland.
Kama raia wa China na muwekezaji alikuwa anachepusha lita Mil moja kwa saa amedhibitiwa ndani ya masaa 48 na tayari maji yameongezeka mto Ruvu, hivyo hata wanaohujumu vyanzo vya kuzalisha umeme wakidhibitiwa mgao na upungufu wa umeme utapungua.
My take; Maneno ya hayati kuwa vyanzo vya kuzalisha umeme huwa vinahujumiwa kwa kufungulia maji yana ukweli.
Natamani nimuhoji kwa hisabati huyo mdawasa na.hizo.claims za 1m litres zake hizoHuyo aweso na mcherengwa ndio mawaziri wa hovyohovyo hawana sifa za kua mawaziri,unasema pump ya diesel ile tumeona inavutwa lita 1myani ni vituko...yani pump hp haizidi 10 ivute lita hizo,ccm woyee
Hiccho kibali cha kulima sinwalimpa wenyewe!Kutumia maji ya mto kwa shughuli za kiuchumi kama kumwagilia mashamba au kufuga samaki siyo kuhujumu.
Infact serikali yenyewe ina encourage watu kulima kilimo cha umwagiliaje.
Na hii mito yote iko chini ya mamlaka za mabonde ambao ndo wana ratibu matumizi ya maji kwa ajili ya shughuli mbalimbali.
Kitendo cha kuwafungia maji kwa nguvu na kuwakamata watu wanao fanya shughuli zao halali ni ukiukwaji wa haki zao. Jambo hili lilitakiwa kuwa la mazungumzo badala ya nguvu
Hii sio zamu ya wanyonge.Rais ni hatari kufanya operation ya kuondoa wamachinga barabarani (uamuzi sahihi) na wakati huo huo kuzuia raia haohao essentially wasitumie maji ya mito inayopita kwao kulima mbogamboga, umwagiliaji mdogo mdogo, ufugaji samaki, nk nk. Hapa kuna real danger ya kuleta maafa, njaa, magonjwa na vita haswa ambayo hakuna atakayeiweza. Ni vema muwaache raia watumie mito kwa uangalifu. Viongozi msitake kuleta mtafaruku maisha ya tozo yanatosha kuwa fimbo kwa viumbe hawa. Huku mtaani utawala umeshafitinika mno mambo si shwari kabisaaa. Maneno ni mengi saidieni mama. Mabango ya sura ya rais kila kona yanageuka kejeki mjue. Acheni watu watumie maji ya mito ni haki yao nyie endeleeni kula vya makopo ya supermarket toka Kenya na Ulaya msiwachokoze!
Na ndo ukweli wenyewe!!Ni dhahiri kuwa maneno ya hayati JPM yana ukweli kuwa hujuma ya kufungulia maji ili yasiende kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme vya, Kihansi, Kidatu, Mtera na kwingine ndio chanzo cha mgao na tatizo la umeme hapa Bongoland.
Kama raia wa China na muwekezaji alikuwa anachepusha lita Mil moja kwa saa amedhibitiwa ndani ya masaa 48 na tayari maji yameongezeka mto Ruvu, hivyo hata wanaohujumu vyanzo vya kuzalisha umeme wakidhibitiwa mgao na upungufu wa umeme utapungua.
My take; Maneno ya hayati kuwa vyanzo vya kuzalisha umeme huwa vinahujumiwa kwa kufungulia maji yana ukweli.
Ni dhahiri kuwa maneno ya hayati JPM yana ukweli kuwa hujuma ya kufungulia maji ili yasiende kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme vya, Kihansi, Kidatu, Mtera na kwingine ndio chanzo cha mgao na tatizo la umeme hapa Bongoland.
Kama raia wa China na muwekezaji alikuwa anachepusha lita Mil moja kwa saa amedhibitiwa ndani ya masaa 48 na tayari maji yameongezeka mto Ruvu, hivyo hata wanaohujumu vyanzo vya kuzalisha umeme wakidhibitiwa mgao na upungufu wa umeme utapungua.
My take; Maneno ya hayati kuwa vyanzo vya kuzalisha umeme huwa vinahujumiwa kwa kufungulia maji yana ukweli.
Sawa mie ningefukiwa ni kwa sababu ni binaadamu tu ila Lissu ni mungu ndio maana kifo hakimpati kimempata kilema tu cha maisha basi.Malaika jiwe maana Lissu alisharudi kwani kwa risasi mlizo mchakaza kama tembo ungekuwa ungeshafukiwa kitambo
Halafu eti alikuwa ni PHD holder!maskini TANZANIA.JPM huyo huyo aliruhusu kulima kwenye vyanzo vya maji na ukingoni mwa mito.
Wakati mwingine shutuma za wapinzani zina ukweli.
Tumechezewa sanaa, that guy was factual! Ulimwengu ulichelewa kumuelewa tu!Maneno kuntu
Aliyevurugwa ni nani hebu acha kuzingua weweTokea yule mungu wenu amekufa wapambe mmevurugwa sasa kila mtu ni adui yenu,mbwa nyie si mlikuwa mnafurahi wengine wakiteseka na kupotezwa.r
Nakubaliana na hilo kuwa utukufu upo kwa mh Lissu na nikwa miujiza ya Mungu tuSawa mie ningefukiwa ni kwa sababu ni binaadamu tu ila Lissu ni mungu ndio maana kifo hakimpati kimempata kilema tu cha maisha basi.