Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Juzi hapa jamaa yangu alikwenda kuposa maeneo ya Dole Zanzibar akatakiwa nilete vitu vifuatavyo:
1. Kitanda futi 6
2. DVD player-LG
3. Kabati la nguo na la vyombo
4. Friji la milango mitatu
5. Dressing table
6. Rice cooker
7. TV flat screen nchi 32
8. Pasi ya umeme ya sonny
9. Laptop
10. Blender
11. Makochi
12. Radio ya CD 3
13. Simu ya nokia tachi screen
14. Jagi la umeme modo 8
15.pesa za wazee Tsh 250000
16.mchele wa basmat
17.blanketi za bibi na begi la shangazi
18.mbuzi watatu
watoto wa wakulima kama sisi sijui kama tutaweza
1. Kitanda futi 6
2. DVD player-LG
3. Kabati la nguo na la vyombo
4. Friji la milango mitatu
5. Dressing table
6. Rice cooker
7. TV flat screen nchi 32
8. Pasi ya umeme ya sonny
9. Laptop
10. Blender
11. Makochi
12. Radio ya CD 3
13. Simu ya nokia tachi screen
14. Jagi la umeme modo 8
15.pesa za wazee Tsh 250000
16.mchele wa basmat
17.blanketi za bibi na begi la shangazi
18.mbuzi watatu
watoto wa wakulima kama sisi sijui kama tutaweza