Kama baadhi ya watu wanavyoamini kuwa Rais Magufuli amefanya mambo mengi na Mazuri kuliko Kikwete, ndivyo hivyo ninavyoamini Mimi kuwa Atakayefuatia baada ya kipindi Cha miaka kumi cha uongozi wa Magufuli kumalizika, atakuwa Bora kuliko Rais wa Sasa na ataifanyia Tanzania mambo makubwa kuliko aliyoyafanya Magufuli.
Hivyo Basi miaka yake kumi ikiisha akabidhi ofisi ili mwingine akamate kijiti Kama ilivyo desturi. Niaminivyo Mimi Tanzania yenye watu zaidi ya milioni 50 tunao watu maelfu ambao Ni zaidi ya Magufuli.
Hivyo Basi miaka yake kumi ikiisha akabidhi ofisi ili mwingine akamate kijiti Kama ilivyo desturi. Niaminivyo Mimi Tanzania yenye watu zaidi ya milioni 50 tunao watu maelfu ambao Ni zaidi ya Magufuli.