Mbona hata yule mama wa Malawi, alitabiliwa kuwa atashinda?? akaja kuangukia pua!!
Aliibiwa kura
Mbona hata yule mama wa Malawi, alitabiliwa kuwa atashinda?? akaja kuangukia pua!!
mbona unahangaika sana? Mnamwamini huyo mwehu Joshua aliyefanya kafara kwenye jengo lake?
Katika moja ya vikao vya bunge la Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Sasa inakuwaje tunasikia katika makundi ndani ya CCM(mafisadi) kundi lake ndilo hutumia fedha kwa kiasi kikubwa ili kupenyeza watu wake kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali; huku yeye Lowassa akijiandaa kugombea urais kwa tiketi ya ccm kwa kutumia fedha? Je, hauamini unabii uliotolewa juu yake na TB Joshua? Kwa nini amsaidie mungu kukamilisha unabii wake? Au huyo, mbunge mwanamama alikuwa mzushi tu?
Mh. E. Lowassa akiwa Nigeria akishiriki ibada katika SOAN na mwenye kipaza sauti ni nabii TB Joshua
mwaka jana.
Wana jf.
Yule muhubiri maarufu Africa T. B. Joshua kwa mara nyingine tena amemtabiria Edward Lowasa kuwa rais ajae wa Tanzania katika mahubiri yake jana ijumaa jioni tarehe 5.6.2015
Source..TV Emanuel
Na Goodluck Jonathan ilikuwaje ?Labda alitumia pesa KUTABIRIWA!
Utake usitake ukweli ni kwamba Hon. Lowassa ndiye rais wa Tanzania 2015. Acha chuki binafsi, Lowassa hatumii rushwa bali anakubalika kutokana uchapa kazi wake.
Aliibiwa kura
Aliibiwa kura
TB Joshua alishindwa ktabiri anguko la hekalu lake na likatekeketeza watu wengi ndivyo itakavyokuwa kwa Lowasa ambapo atapata anguko asilo lijua Tarehe 12 July 2015Ndugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.
Hata JOYCE BANDA, naye alitabiriwa kuwa angeshinda kwa kishindo!!! kilichotokea sijui.Ndugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.