mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,287
- 793
mpango wa Mungu
Katika moja ya vikao vya bunge la Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Sasa inakuwaje tunasikia katika makundi ndani ya CCM(mafisadi) kundi lake ndilo hutumia fedha kwa kiasi kikubwa ili kupenyeza watu wake kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali; huku yeye Lowassa akijiandaa kugombea urais kwa tiketi ya ccm kwa kutumia fedha? Je, hauamini unabii uliotolewa juu yake na TB Joshua? Kwa nini amsaidie mungu kukamilisha unabii wake? Au huyo, mbunge mwanamama alikuwa mzushi tu?
Mh. E. Lowassa akiwa Nigeria akishiriki ibada katika SOAN na mwenye kipaza sauti ni nabii TB Joshua
mwaka jana.
TB Joshua hakuwahi kumtabiria Lowassa Uraisi.Ni kwamba alikwenda kusali tu kule Nigeria.Ndugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.
Hajawahi kutabiriwa kuhusu uraisi, msichafue watumishi wa Mungu bure.
Tupe link ya huo utabiri kama unayo!
Fuatilia clips kwenye Youtube za TB Joshua ili ipate ushahidi wa hicho unachosema.Kimsingi aliona kuna tatizo litatokea kwenye kanisa lake.Na alisema kabla"let the will of God be done".Usizungumze mambo ambayo huna uhakika nayo.TB Joshua alishindwa ktabiri anguko la hekalu lake na likatekeketeza watu wengi ndivyo itakavyokuwa kwa Lowasa ambapo atapata anguko asilo lijua Tarehe 12 July 2015
Take it from me!
Chamsingi watu tuache tabia ya kushabikia speculations za mtaani instead let's focus on real issues. Hakuna mtu ambae anaweza fanya campaign bila hela na kama mtu ana ushahidi wa hizo hela zinazogawiwa hovyo then atupe ushaidi tuufanyie kazi.
Hakuna ukweli wowote kuhusu asemalo huyo Mbunge!
huyo ndo rais wetu 2015
Utake usitake ukweli ni kwamba Hon. Lowassa ndiye rais wa Tanzania 2015. Acha chuki binafsi, Lowassa hatumii rushwa bali anakubalika kutokana uchapa kazi wake.
TB Joshua alishindwa ktabiri anguko la hekalu lake na likatekeketeza watu wengi ndivyo itakavyokuwa kwa Lowasa ambapo atapata anguko asilo lijua Tarehe 12 July 2015
Take it from me!
Katika moja ya vikao vya bunge la Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Sasa inakuwaje tunasikia katika makundi ndani ya CCM(mafisadi) kundi lake ndilo hutumia fedha kwa kiasi kikubwa ili kupenyeza watu wake kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali; huku yeye Lowassa akijiandaa kugombea urais kwa tiketi ya ccm kwa kutumia fedha? Je, hauamini unabii uliotolewa juu yake na TB Joshua? Kwa nini amsaidie mungu kukamilisha unabii wake? Au huyo, mbunge mwanamama alikuwa mzushi tu?
Mh. E. Lowassa akiwa Nigeria akishiriki ibada katika SOAN na mwenye kipaza sauti ni nabii TB Joshua
mwaka jana.
Pamoja na yooote, huu upepo dhidi ya EL utapita na safari yake kwenda kupanga Magogoni itatimia bila ya kutegemea utabiri wa Joshua au utabiri wa kiumbe mwingine yeyote..... Chezea nguvu ya Laingwanani nyie..../^^^>>>???
Katika moja ya vikao vya bunge la Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Sasa inakuwaje tunasikia katika makundi ndani ya CCM(mafisadi) kundi lake ndilo hutumia fedha kwa kiasi kikubwa ili kupenyeza watu wake kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali; huku yeye Lowassa akijiandaa kugombea urais kwa tiketi ya ccm kwa kutumia fedha? Je, hauamini unabii uliotolewa juu yake na TB Joshua? Kwa nini amsaidie mungu kukamilisha unabii wake? Au huyo, mbunge mwanamama alikuwa mzushi tu?
Mh. E. Lowassa akiwa Nigeria akishiriki ibada katika SOAN na mwenye kipaza sauti ni nabii TB Joshua
mwaka jana.
Habari ndio Hiyo... sipati Picha Manywele meupe akirejea tena kwenye Ving'ora na Kupigiwa Saluti...
CCM wanatakiwa wafanye kazi ngumu na ya Shida kutuliza Raia... ila Obama kawaambia no Kung'ang'ania Madaraka...
CCM jamani Imetosha now Tunahitaji Changes people wamesafer sana wanahitaji Ukombozi...