GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,557
- 108,897
- Thread starter
- #21
Tukianza kuamini hivi basi kila kitu kin achokwama tutasema ni ushirikina...msije mkasema ushirikina umesababisha hata Sukari kupata...
Msomi wa kweli na hasa Mwana taaluma huheshimu sana mawazo ya Watu kisha huyafanyia Kazi na Utafiti wa kutosha kwani yawezekana ukawaona hao Madereva wapuuzi ila kuna jambo la msingi hapo la kuangaliwa kwakuwa wao ndiyo watumiaji wa muda mwingi wa hizi barabara kuliko Wewe ambaye husubiri tu Pasaka au Christmas ukahesabiwe kwenu huko Vunjo. Tatizo lenu mnataka kukwepesha kuwa USHIRIKINA hauna nafasi wakati pengine wengi wetu ni WASHIRIKINA wa KUTUKUKA. Mimi nasema kuwa hawa Madereva wana HOJA ya msingi na tujifunze kuheshimu michango ya Watu hata kama mnazidharau professions zao kwa Kigezo cha Usomi wenu wa kukariri na kununua vyeti au kutoa rushwa za namna mbalimbali.