Kama kweli Serikali hii inatengeneza pato kubwa kuliko Serikali zilizopita, mbona haitoi ajira za walimu na watumishi wa afya kama serikali zilizopita

Kuajiri watumishi siyo fashion bali kinachoamua ni uhitaji

Kama JK aliajiri wahitimu wote kila mwaka unategemea uhitaji utakuwa vilevile milele.

Huyu anajazia nafasi za waliostaafu,kufariki na waliofukuzwa kazi tu.
 
Kwa kuwa walikuwa hawachujwi ndio maana hata wanafunzi enzi hizo walikuwa mbumbumbu na hata sasa madhara yake yanaonekana. Bado kuondoa dhana potofu ya ufundishaji mashuleni ni kikwazo kutokana na hao waluoingizwa kiholela
Inaonekana elimu yako ni ya kubahatisha.
Unachuja mtaalam aliyefuzu mafunzo?

Acha idara ya afya na sheria, idara ya ualimu unachuja kitu gani wkt mtu kahitimu chuo?Huo utaratibu ulitoka wapi?Wabachuja kwa kutumia vigezo gani(Basi ingekuwa GPA),Una ushahidi kuwa ubora wa elimu umepanda baada ya kuanza kuchuja? Kama hujui maana ya taaluma usichangie mada ya kitaaluma.
 
Kuajiri watumishi siyo fashion bali kinachoamua ni uhitaji

Kama JK aliajiri wahitimu wote kila mwaka unategemea uhitaji utakuwa vilevile milele.

Huyu anajazia nafasi za waliostaafu,kufariki na waliofukuzwa kazi tu.
Kwa hiyo 2015 uhitaji ulikuwepo,mwaka mmoja baadaye (2016) uhitaji ukaisha?

Unajua uwiano wa daktari kwa mgonjwa,nurse kwa mgonjwa,na mwalimu kwa mwanafunzi?

Ulitoa hizo takwimu na uhalisia tutazungumza.Otherwise huwezi kujenga nchi yako.
 
Namnukuu baba lao aliyosema mei mosi 2016.

"Lakini mimi nikaona badala ya kuongeza mishahara, tujenge sgr na miundombinu mingine ambayo itasaidia baadaye, lakini nawaahidi ndugu zangu wafanyakazi kabla ya kipindi changu kuisha nitawaongezea mishahara na nyongeza itakuwa nyongeza kweli kweli sio ile ya 10000."

Kama mligoma maandamano, acha tuendelee kuisoma namba.
 
Namnukuu baba lao aliyosema mei mosi 2016
"Lakini mimi nikaona badala ya kuongeza mishahara, tujenge sgr na miundombinu mingine ambayo itasaidia baadaye, lakini nawaahidi ndugu zangu wafanyakazi kabla ya kipindi changu kuisha nitawaongezea mishahara na nyongeza itakuwa nyongeza kweli kweli sio ile ya 10000."
Kama mligoma maandamano, acha tuendelee kuisoma namba.
Da!!!!
 
Acha kuishi kwa mazoea mkuu,, Sasa kwasababu JK alikua anaajiri kila mwaka walimu Basi na huyu afanye hivohivo,,?! Ile ilikua sio Sheria Wala haipo kweny katiba, yalikua Ni maamuzi tu ya JK Sasa na huyu Ana maamuzi yako...
 
Kwa hiyo 2015 uhitaji ulikuwepo,mwaka mmoja baadaye (2016) uhitaji ukaisha?!!!!
Unajua uwiano wa daktari kwa mgonjwa,nurse kwa mgonjwa,na mwalimu kwa mwanafunzi?
Ulitoa hizo takwimu na uhalisia tutazungumza.Otherwise huwezi kujenga nchi yako.
Hivi mnapoenda chuo huwa kuna makubaliano mnaingia na serikali kwamba mkihitimu lazima iwaajiri?

Kama yapo si muiburuze kortini?

Kila awamu inaingia na priorities zake tatizo linaanzia pale mnapolazimisha mambo ya JK awamu ya tano.

Shule nyingi za kata zimefunguliwa kuanzia 2004-2010 hivyo uhitaji ulikuwa mkubwa ndiyo maana na ajira zikawa fungulia mbwa.

Aliowaajiri Kikwete kwa miaka 10 walikuwa wengi kuliko hata mahitaji ndo maana walimu kibao tu wa Secondary wamepelekwa msingi na kwa kauli ya Ndalichako 2019 hao waliopelekwa msingi walitakiwa wapigwe "redundance".

Doctor-Population ratio ya WHO ni siasa tu, haiwezi kuwa uniform dunia nzima ilhali jamii zingine hospital ni second option.
 
You are simply,a mediocre.
Tell the teacher-student ratio in TANZANIA.As well as the Doctor-patient
ratio there in.
 
Hivi mnapoenda chuo huwa kuna makubaliano mnaingia na serikali kwamba mkihitimu lazima iwaajiri?

Kama yapo si muiburuze kortini?

Kila awamu inaingia na priorities zake tatizo linaanzia pale mnapolazimisha mambo ya JK awamu ya tano.

Shule nyingi za kata zimefunguliwa kuanzia 2004-2010 hivyo uhitaji ulikuwa mkubwa ndiyo maana na ajira zikawa fungulia mbwa.

Aliowaajiri Kikwete kwa miaka 10 walikuwa wengi kuliko hata mahitaji ndo maana walimu kibao tu wa Secondary wamepelekwa msingi na kwa kauli ya Ndalichako 2019 hao waliopelekwa msingi walitakiwa wapigwe "redundance".

Doctor-Population ratio ya WHO ni siasa tu, haiwezi kuwa uniform dunia nzima ilhali jamii zingine hospital ni second option.
Hospitali iwe second option,ujinga Kama huu ukiwa serikalini nfio maana nchi haiendelei.
 
Hospitali iwe second option,ujinga Kama huu ukiwa serikalini nfio maana nchi haiendelei.
Nenda kwa wahadzabe na jamii kama hizo kama wanaijua hata hospital.

Halafu wewe mwenye akili unalialia kuajiriwa tena ualimu.😁!

Nyie ndo mtaendeleza nchi?

Wenye akili akina Elon Musk hawajawahi kuajiriwa popote.
 
Hivi mnapoenda chuo huwa kuna makubaliano mnaingia na serikali kwamba mkihitimu lazima iwaajiri?

Kama yapo si muiburuze kortini?

Kila awamu inaingia na priorities zake tatizo linaanzia pale mnapolazimisha mambo ya JK awamu ya tano.

Shule nyingi za kata zimefunguliwa kuanzia 2004-2010 hivyo uhitaji ulikuwa mkubwa ndiyo maana na ajira zikawa fungulia mbwa.

Aliowaajiri Kikwete kwa miaka 10 walikuwa wengi kuliko hata mahitaji ndo maana walimu kibao tu wa Secondary wamepelekwa msingi na kwa kauli ya Ndalichako 2019 hao waliopelekwa msingi walitakiwa wapigwe "redundance".

Doctor-Population ratio ya WHO ni siasa tu, haiwezi kuwa uniform dunia nzima ilhali jamii zingine hospital ni second option.
Ipo siku tope litakutoka kwenye ubongo wako,ndipo utaacha kushabikia ujinga,kisa you're favoured.
 
Hospitali iwe second option,ujinga Kama huu ukiwa serikalini nfio maana nchi haiendelei.
Mjinga tu atakaye amini kujenga hospital ni first option..ujijenga mahospitali target yako watu waugue..ili uwatibu..sawa na kujenga majereza..badilisheni mitazamo tunahitaji zaidi public health approached hususani preventive measures.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nenda kwa wahadzabe na jamii kama hizo kama wanaijua hata hospital.

Halafu wewe mwenye akili unalialia kuajiriwa tena ualimu.😁!

Nyie ndo mtaendeleza nchi?

Wenye akili akina Elon Musk hawajawahi kuajiriwa popote.
Akili yako ndogo sana wewe.Wahadzabe ni asilimia ngapi ya watanzania wote?
Na je, unategemea jamii ya dunia hii iishi bila hospitali za uhakika kisa miti shamba?Kiwango gani Cha elimu unacho?au kusoma na kuandika!!
 
Mjinga tu atakaye amini kujenga hospital ni first option..ujijenga mahospitali target yako watu waugue..ili uwatibu..sawa na kujenga majereza..badilisheni mitazamo tunahitaji zaidi public health approached hususani preventive measures.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Upumbavu ni mbaya kuliko ujinga.
Hebu taja prevetive measures zinazotumika ili kujikinga na magonjwa kama kisukari,BP na cancer?Unadhani kwa akili yako kila ugonjwa unaweza kuzuiwa?
 
Akili yako ndogo sana wewe.Wahadzabe ni asilimia ngapi ya watanzania wote?
Na je, unategemea jamii ya dunia hii iishi bila hospitali za uhakika kisa miti shamba?Kiwango gani Cha elimu unacho?au kusoma na kuandika!!
Umeelewa maana ya "na jamii kama hizo"

Wahadzabe nimetumia mfano tu ila jamii zote za wafungaji Africa bado ziko kwenye mizizi kama option ya kwanza.

Huwezi kuwaweka kundi moja na hao wanaoenda kwa Physician hata wakipata mafua tu.
 
Back
Top Bottom