Kama kweli kuna wataalum wa nguvu za asili wenye kuweza kulipiza mabaya kwa mabaya basi walipize kwa uonevu unaotokea Tz

Kama kweli kuna wataalum wa nguvu za asili wenye kuweza kulipiza mabaya kwa mabaya basi walipize kwa uonevu unaotokea Tz

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Huu ni ujinga kila siku watu wanateseka kwa maovu na uonevu wa viongozi ndani ya Tz na huku watu wakijinadi kuwa wanauwezo wa kulipiza kwa nguvu za asili kila leo.

Ni wazi mungu wa biblia na quruan kashindwa kuwatetea waTz hivyo hawa watu wenye nguvu za asili za Mungu wakweli amkeni muwatete na kuwakinga waTz na viongozi waonevu.
 
It doesnt work like that. Giza ndugu yake ni Giza tu!, Alietoa amri, aliyeua na aliyekufa faida zinabaki Dark side.

Hapo ni nguvu ya "Mwanga" pekee ndo italeta changes.

Mungu kwenye hivyo vitabu kaweka wazi nini cha kufanya.

Bado watu hawajataka Mungu afanye kitu serious. Wakimhitaji atajibu tu.

Ukishaona maandamano yanadumu zaidi ya siku tano basi ujue Nguvu ya mwanga imekaa kwenye vifua vya watu na sir god kashajua namna ya kumaliza mchezo.
 
Back
Top Bottom