Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 775
- 1,592
Banda chenga sana hii issue nimeona hadi kwenye goal.com wamechapisha ujinga wake. Mwanzoni nilijua labda mtu kamzushia lakini naona ni kweli yeye ndio kasema hivyo.
Anyway, SSC mpaka anafika hatua hii sijasikia timu yoyote ikisema referees wanaibeba Simba. So,difficult to tell what the man is going through mpaka anakuwa na comment za kizembe hivi.
Anyway, SSC mpaka anafika hatua hii sijasikia timu yoyote ikisema referees wanaibeba Simba. So,difficult to tell what the man is going through mpaka anakuwa na comment za kizembe hivi.