CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
anaandika mwalimu wangu
"Binafsi kama kuna watu walimpigia debe Ndalichako awe Waziri Wa Elimu basi nami nilikuwa mmojawapo
nilidhani sasa Yale Elimu na walimu vitarudi katika ubora wake lakini hadi sasa tunajuta zaidi ya usajili Wa "Pogba"
kwa mambo kadhaa tu yafuatayo utajua sasa tumepata Waziri ambaye hatukutegemea kabisa tangu kuumbwa misingi ya Dunia..
1.kufuta mtihani Wa form II
2.Mkanganyiko Wa udahili TCU
n.k
sasa nirudi kwenye mada kama kuna kundi lililosomeshwa namba effectively basi ni hawa maticha..
1.Suala la uhamisho...
kuna walimu walishakamilisha mambo ya uhamisho na wakauza vitu vyao wakitaraji majina na vibali kutoka mwezi Wa 7 as usually.. sasa ni mwezi Wa 10 hali zao huko walipo wanatia huruma..wanaishi kama mazombi sio mashetani..
2.kushushwa madaraja
kuna walimu walipanda madaraja kwa tabu sana na wakaanza kupokea mishahara ya madaraja yao baadae wakashushwa kupisha uhakiki (siku hizi umepewa jina jipya la utambuzi)
3.Nyongeza za mishahara..
hili sisemi maana wote tunajua umuhimu Wa nyongeza kwa mwalimu ambae hana posho yoyote sasa kuzunguuka na mshahara huo huo kwa miezi 15. plus mfumuko Wa bei hebu jaribu kuvaa viatu vyake..
4.Kufutwa kwa posho za kusahihisha mitihani..
hii ilikuwa ni fursa kubwa kwa walimu kupata hela mbali na mshahara mwalimu akitoka marking walau anaweza kununua hata godoro kwenye chumba cha watoto... sasa Leo imefutwa kwa madai eti wanafanya majukumu yao...vipi kuhusu wabunge wao wanafnya majukumu ya nani?.. hivi umkalishe mwalimu mwezi mmoja nje na familia yake halafu usimlipe posho?
mfano Mimi kila jioni nikitoka shule namchukua mke wangu Mariamu na watoto wangu watatu Imma,Joan na Cassandra tunaenda kwenye bustani Yetu ya mboga mboga hadi saa 12 jioni tunaweza kurudi na 3000-5000 sasa Leo hii unichukue ukanifungie huko nisahihishe mitihani miezi miwili halafu usinilipe?? hapana.
5.Elimu bure..
kiukweli swala hili ni pigo lingine kwa walimu...tofauti na mtazamo Wa wengi kuwa walimu walikuwa wanakula hela lakini ukweli utabaki kuwa kufutwa kwa michango kumewasononesha walimu...
mwalimu alikuwa na uwezo Wa kuagiza mchango Wa dawati kwa 35000 na yeye akabagain na Fundi akapata ile 5000 Mtoto akapata dawati mwalimu akapata ile 5000 sasa Leo hakuna michango na watoto wanakaa chini kwa asiyeamini hili aje pm nitampeleka shule NNE za wanafunzi wanaokaa chini..
mwisho..
Ukimya huu Wa mheshimiwa Raisi juu ya maslahi bora ya walimu unaashiria mambo mawili..
1.anaaply ile theory ya ni upepo tu utapita...yaani wapige kelele tu lakini hakutakuwa na nyongeza zaidi ya kutoa 2% za kodi.. AU
2.Anaandaa big surprise kuwainua walimu kutoka hali ya kudharauliwa hadi kwenda katika hali ya kuheshimiwa..hii inaitwa "chemical change"
nimeandika haraka haraka maana huwezi jua lini malaika atashuka.
"Binafsi kama kuna watu walimpigia debe Ndalichako awe Waziri Wa Elimu basi nami nilikuwa mmojawapo
nilidhani sasa Yale Elimu na walimu vitarudi katika ubora wake lakini hadi sasa tunajuta zaidi ya usajili Wa "Pogba"
kwa mambo kadhaa tu yafuatayo utajua sasa tumepata Waziri ambaye hatukutegemea kabisa tangu kuumbwa misingi ya Dunia..
1.kufuta mtihani Wa form II
2.Mkanganyiko Wa udahili TCU
n.k
sasa nirudi kwenye mada kama kuna kundi lililosomeshwa namba effectively basi ni hawa maticha..
1.Suala la uhamisho...
kuna walimu walishakamilisha mambo ya uhamisho na wakauza vitu vyao wakitaraji majina na vibali kutoka mwezi Wa 7 as usually.. sasa ni mwezi Wa 10 hali zao huko walipo wanatia huruma..wanaishi kama mazombi sio mashetani..
2.kushushwa madaraja
kuna walimu walipanda madaraja kwa tabu sana na wakaanza kupokea mishahara ya madaraja yao baadae wakashushwa kupisha uhakiki (siku hizi umepewa jina jipya la utambuzi)
3.Nyongeza za mishahara..
hili sisemi maana wote tunajua umuhimu Wa nyongeza kwa mwalimu ambae hana posho yoyote sasa kuzunguuka na mshahara huo huo kwa miezi 15. plus mfumuko Wa bei hebu jaribu kuvaa viatu vyake..
4.Kufutwa kwa posho za kusahihisha mitihani..
hii ilikuwa ni fursa kubwa kwa walimu kupata hela mbali na mshahara mwalimu akitoka marking walau anaweza kununua hata godoro kwenye chumba cha watoto... sasa Leo imefutwa kwa madai eti wanafanya majukumu yao...vipi kuhusu wabunge wao wanafnya majukumu ya nani?.. hivi umkalishe mwalimu mwezi mmoja nje na familia yake halafu usimlipe posho?
mfano Mimi kila jioni nikitoka shule namchukua mke wangu Mariamu na watoto wangu watatu Imma,Joan na Cassandra tunaenda kwenye bustani Yetu ya mboga mboga hadi saa 12 jioni tunaweza kurudi na 3000-5000 sasa Leo hii unichukue ukanifungie huko nisahihishe mitihani miezi miwili halafu usinilipe?? hapana.
5.Elimu bure..
kiukweli swala hili ni pigo lingine kwa walimu...tofauti na mtazamo Wa wengi kuwa walimu walikuwa wanakula hela lakini ukweli utabaki kuwa kufutwa kwa michango kumewasononesha walimu...
mwalimu alikuwa na uwezo Wa kuagiza mchango Wa dawati kwa 35000 na yeye akabagain na Fundi akapata ile 5000 Mtoto akapata dawati mwalimu akapata ile 5000 sasa Leo hakuna michango na watoto wanakaa chini kwa asiyeamini hili aje pm nitampeleka shule NNE za wanafunzi wanaokaa chini..
mwisho..
Ukimya huu Wa mheshimiwa Raisi juu ya maslahi bora ya walimu unaashiria mambo mawili..
1.anaaply ile theory ya ni upepo tu utapita...yaani wapige kelele tu lakini hakutakuwa na nyongeza zaidi ya kutoa 2% za kodi.. AU
2.Anaandaa big surprise kuwainua walimu kutoka hali ya kudharauliwa hadi kwenda katika hali ya kuheshimiwa..hii inaitwa "chemical change"
nimeandika haraka haraka maana huwezi jua lini malaika atashuka.