Story iko hivi....!!ninapofanya biashara pako karibu na nyumba flani ya wapemba...!!
Kutokana na kuongea vizuri na watu na pia hasa kusikiliza shida za wateja basi nikazoeana na hiyo familia....lakni hasa nikazoeana sana na mtoto wao mmoja wa kike....!!
Yule msichana kiukweli ni mtafutaji pesa....hapo ndo tulipoanza kuelewana...!!tulipeana ideas...madili....na pia ushauri mara nyingi....!!nakiri kusema kuwa niliona anafaa kuwa mke maana niliona kila dalili ya mafanikio kama nikimuweka ndani(hili wazo nililifuta baada ya kufikiria masuala ya dini na 7b zngnezo japo kiukweli hata yeye alionyesha kuwa tyari)
Sasa mazoea yalizidi mpk akawa anakuja kushinda ofisin kwangu tunapiga story....mpk kuna baadh ya watu wakawa wanahic tupo pamoja
Sasa hivi juzi nimeona dada zake wote wamekuja....shangazam zke wote wamekuja...!!usiku akanambia kuwa amesemwa saana kuhusu mazoea yetu...!!wamemsema wote ndan kwao....!!alilia mno mpaka nkamuonea huruma na nimemshauri tu awasikilize na tuvunje mazoea na ndo tulichokifanya
Sasa hapo hayo yote wamemsema kwa kuangalia dini yangu n tofauti huku wakisahau kuwa baba wa huyo mtot n shoga na anainamishwa na mtaa mzima unajua hlo
Sasa nauliza huu muungano wanaousifia wakat ubaguzi huu unaendela una maana gan??
Na nyie wapemba mliop0 humu....mnatchukuliaje watu wa bara??....maan hata wapemba walokulia huku dsm hamtaki waoe kwenu
Sisemi uongo...ila nmetokea kuwachukia hawa watu
POLE SANA KWA MASAHIBU LAKINI UNAONEKANA UNA MATATIZO YA UELEWA .
1 BABA YAKE ANAINGIA VIPI HAPO KAMA NI KWELI HUONI UNGEKARIBISHA AIBU NYUMBANI KWENU ?
2 WATU WA BARA HASA WAGENI KUTOKA MIKOANI WANSHINDWA KUELEWA NI NANI MPEMBA WAO WANAELEWA MPEMBA NI KILA MZANZIBAR MPEMBA HALISI NI YULE ANAETOKA KISIWA CHA PEMBA NA SIO UNGUJA HII IMEKUA NI TABIA ENDELEVU KUWENI WAELEWA .
3 KWENYE SUALA LA DINI NI MOJA YA CHANGA MOTO KUBWA HASA IKIWA MUME SIO MUISLAM MBONA KUNA WATU WENGI TU KUTOKA BARA WAMEOWA NA KUOLEWA ?
4 KAWAIDA YA WAISLAM KATIKA SUALA LA NDOA UNATAKIWA UJIKITE KWENYE MAMBO MATATU KAMA SIO ZAIDI . 1 DINI YAKO 2 FAMILIA YAKO 3 UZURI WAKO SASA HIVI VIGEZO VIPO VIPI KWA UPANDE WAKO ?
SUALA LA UBAGUZI KILA PAHALA LIPO ILA UKILAZIMISHA MAMBO UNAWEZA JIKUTA UNAINGIA UTUMWANI BILA KUJUA KWA KUANGALIA KIPATO CHAKO.