BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
.
Sas hii ya baba yake wanamtafna umeiingiza ya nnStory iko hivi....!!ninapofanya biashara pako karibu na nyumba flani ya wapemba...!!
Kutokana na kuongea vizuri na watu na pia hasa kusikiliza shida za wateja basi nikazoeana na hiyo familia....lakni hasa nikazoeana sana na mtoto wao mmoja wa kike....!!
Yule msichana kiukweli ni mtafutaji pesa....hapo ndo tulipoanza kuelewana...!!tulipeana ideas...madili....na pia ushauri mara nyingi....!!nakiri kusema kuwa niliona anafaa kuwa mke maana niliona kila dalili ya mafanikio kama nikimuweka ndani(hili wazo nililifuta baada ya kufikiria masuala ya dini na 7b zngnezo japo kiukweli hata yeye alionyesha kuwa tyari)
Sasa mazoea yalizidi mpk akawa anakuja kushinda ofisin kwangu tunapiga story....mpk kuna baadh ya watu wakawa wanahic tupo pamoja
Sasa hivi juzi nimeona dada zake wote wamekuja....shangazam zke wote wamekuja...!!usiku akanambia kuwa amesemwa saana kuhusu mazoea yetu...!!wamemsema wote ndan kwao....!!alilia mno mpaka nkamuonea huruma na nimemshauri tu awasikilize na tuvunje mazoea na ndo tulichokifanya
Sasa hapo hayo yote wamemsema kwa kuangalia dini yangu n tofauti huku wakisahau kuwa baba wa huyo mtot n shoga na anainamishwa na mtaa mzima unajua hlo
Sasa nauliza huu muungano wanaousifia wakat ubaguzi huu unaendela una maana gan??
Na nyie wapemba mliop0 humu....mnatchukuliaje watu wa bara??....maan hata wapemba walokulia huku dsm hamtaki waoe kwenu
Sisemi uongo...ila nmetokea kuwachukia hawa watu
Hasira tu nduguSas hii ya baba yake wanamtafna umeiingiza ya nn
Punguza hasira mkuu tafuta mwingineHasira tu ndugu
Hasira za kijinga na za kitoto,halafu hata wewe ni mbaguzi coz umehukumu wapemba wote! umegeneralize,unadhani hasira zako ndio zitakusaidia kutatua hilo tatizo? huu muda ndio ulitakiwa uwe na busara zaidi na kutafuta suluhu kwa amani,hakuna linaloshindikana hapa duniani,Hasira tu ndugu
Analalamika ubaguzi huku yeye ndio mbaguzi kwa mujibu wa uandishi wake.Umesema wamekubagua kwa sababu ya dini lakini hapo hapo unataja muungano, sasa kuna uhusiano gani hapo?
Walichokifanya hao ni sahihi maana mambo ya dini yanasumbua sana kwenye mahusiano.
Umetumia hasira kali sana. Na kujikuta unamtukania baba yake.Story iko hivi....!!ninapofanya biashara pako karibu na nyumba flani ya wapemba...!!
Kutokana na kuongea vizuri na watu na pia hasa kusikiliza shida za wateja basi nikazoeana na hiyo familia....lakni hasa nikazoeana sana na mtoto wao mmoja wa kike....!!
Yule msichana kiukweli ni mtafutaji pesa....hapo ndo tulipoanza kuelewana...!!tulipeana ideas...madili....na pia ushauri mara nyingi....!!nakiri kusema kuwa niliona anafaa kuwa mke maana niliona kila dalili ya mafanikio kama nikimuweka ndani(hili wazo nililifuta baada ya kufikiria masuala ya dini na 7b zngnezo japo kiukweli hata yeye alionyesha kuwa tyari)
Sasa mazoea yalizidi mpk akawa anakuja kushinda ofisin kwangu tunapiga story....mpk kuna baadh ya watu wakawa wanahic tupo pamoja
Sasa hivi juzi nimeona dada zake wote wamekuja....shangazam zke wote wamekuja...!!usiku akanambia kuwa amesemwa saana kuhusu mazoea yetu...!!wamemsema wote ndan kwao....!!alilia mno mpaka nkamuonea huruma na nimemshauri tu awasikilize na tuvunje mazoea na ndo tulichokifanya
Sasa hapo hayo yote wamemsema kwa kuangalia dini yangu n tofauti huku wakisahau kuwa baba wa huyo mtot n shoga na anainamishwa na mtaa mzima unajua hlo
Sasa nauliza huu muungano wanaousifia wakat ubaguzi huu unaendela una maana gan??
Na nyie wapemba mliop0 humu....mnatchukuliaje watu wa bara??....maan hata wapemba walokulia huku dsm hamtaki waoe kwenu
Sisemi uongo...ila nmetokea kuwachukia hawa watu
Hiyo ishu ya baba yake sio ya kistaarabu kuiingiza katika mchakato wako,yani unataka upewe mke simply because baba ni shoga....ua losing ur focusStory iko hivi....!!ninapofanya biashara pako karibu na nyumba flani ya wapemba...!!
Kutokana na kuongea vizuri na watu na pia hasa kusikiliza shida za wateja basi nikazoeana na hiyo familia....lakni hasa nikazoeana sana na mtoto wao mmoja wa kike....!!
Yule msichana kiukweli ni mtafutaji pesa....hapo ndo tulipoanza kuelewana...!!tulipeana ideas...madili....na pia ushauri mara nyingi....!!nakiri kusema kuwa niliona anafaa kuwa mke maana niliona kila dalili ya mafanikio kama nikimuweka ndani(hili wazo nililifuta baada ya kufikiria masuala ya dini na 7b zngnezo japo kiukweli hata yeye alionyesha kuwa tyari)
Sasa mazoea yalizidi mpk akawa anakuja kushinda ofisin kwangu tunapiga story....mpk kuna baadh ya watu wakawa wanahic tupo pamoja
Sasa hivi juzi nimeona dada zake wote wamekuja....shangazam zke wote wamekuja...!!usiku akanambia kuwa amesemwa saana kuhusu mazoea yetu...!!wamemsema wote ndan kwao....!!alilia mno mpaka nkamuonea huruma na nimemshauri tu awasikilize na tuvunje mazoea na ndo tulichokifanya
Sasa hapo hayo yote wamemsema kwa kuangalia dini yangu n tofauti huku wakisahau kuwa baba wa huyo mtot n shoga na anainamishwa na mtaa mzima unajua hlo
Sasa nauliza huu muungano wanaousifia wakat ubaguzi huu unaendela una maana gan??
Na nyie wapemba mliop0 humu....mnatchukuliaje watu wa bara??....maan hata wapemba walokulia huku dsm hamtaki waoe kwenu
Sisemi uongo...ila nmetokea kuwachukia hawa watu
Kwavile kaandika kwa hasira huenda hata hiyo issue ya ushoga ni yakutunga tu ili kupata sympathy kwa wachangiaji.Hiyo ishu ya baba sio ya kistaarabu kuiingiza katika mchakato wako,ysni unataka upewe mke simply because baba ni shoga....ua losing ur focus
Hahaha naweza kukuelewaKwavile kaandika kwa hasira huenda hata hiyo issue ya ushoga ni yakutunga tu ili kupata sympathy kwa wachangiaji.
Good questionWewe Ulitaka Biashara au Ndoa?
Yaani Nimesoma Huu Uzi Wako Nimegundua Kama Wewe Ndio Mbaguzi Kuliko Wapemba WenyeweStory iko hivi....!!ninapofanya biashara pako karibu na nyumba flani ya wapemba...!!
Kutokana na kuongea vizuri na watu na pia hasa kusikiliza shida za wateja basi nikazoeana na hiyo familia....lakni hasa nikazoeana sana na mtoto wao mmoja wa kike....!!
Yule msichana kiukweli ni mtafutaji pesa....hapo ndo tulipoanza kuelewana...!!tulipeana ideas...madili....na pia ushauri mara nyingi....!!nakiri kusema kuwa niliona anafaa kuwa mke maana niliona kila dalili ya mafanikio kama nikimuweka ndani(hili wazo nililifuta baada ya kufikiria masuala ya dini na 7b zngnezo japo kiukweli hata yeye alionyesha kuwa tyari)
Sasa mazoea yalizidi mpk akawa anakuja kushinda ofisin kwangu tunapiga story....mpk kuna baadh ya watu wakawa wanahic tupo pamoja
Sasa hivi juzi nimeona dada zake wote wamekuja....shangazam zke wote wamekuja...!!usiku akanambia kuwa amesemwa saana kuhusu mazoea yetu...!!wamemsema wote ndan kwao....!!alilia mno mpaka nkamuonea huruma na nimemshauri tu awasikilize na tuvunje mazoea na ndo tulichokifanya
Sasa hapo hayo yote wamemsema kwa kuangalia dini yangu n tofauti huku wakisahau kuwa baba wa huyo mtot n shoga na anainamishwa na mtaa mzima unajua hlo
Sasa nauliza huu muungano wanaousifia wakat ubaguzi huu unaendela una maana gan??
Na nyie wapemba mliop0 humu....mnatchukuliaje watu wa bara??....maan hata wapemba walokulia huku dsm hamtaki waoe kwenu
Sisemi uongo...ila nmetokea kuwachukia hawa watu
wakisahau kuwa baba wa huyo mtot n shoga na anainamishwa na mtaa mzima unajua hlo