Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 466
- 538
Kama kuna mfanyakazi wa HESLB anifanyie connection rufaa yangu ifanikiwe nitamshukuru sana
Nipo chini ya miguu yenu naombeni kama kuna mtu anafanya kazi bodi ya mikopo au ana connection ambayo niki-appeal ili niongezewe kiwango cha mkopo nipate 100 au 90 nitamshukuru sana
Nina kiwango kidogo mno nina 40% tu na hapo ada inabidi nijilipie mwenyewe kodi kula na kuvaa na nipo mwaka wa mwisho huu
Hapo kichwa kinawaka moto natoa wapi ada nimesoma kwa shida mno
Kama kuna member humu ni mfanyakazi wa bodi ya mikopo anayeweza nifanyia connection nikaongezewa mkopo nikapanda ningemshukuru sana nia yangu nimalize tu huu mwaka ulobaki nikiwaza ada nachanganyikiwa
Naombeni naombeni
Nipo chini ya miguu yenu naombeni kama kuna mtu anafanya kazi bodi ya mikopo au ana connection ambayo niki-appeal ili niongezewe kiwango cha mkopo nipate 100 au 90 nitamshukuru sana
Nina kiwango kidogo mno nina 40% tu na hapo ada inabidi nijilipie mwenyewe kodi kula na kuvaa na nipo mwaka wa mwisho huu
Hapo kichwa kinawaka moto natoa wapi ada nimesoma kwa shida mno
Kama kuna member humu ni mfanyakazi wa bodi ya mikopo anayeweza nifanyia connection nikaongezewa mkopo nikapanda ningemshukuru sana nia yangu nimalize tu huu mwaka ulobaki nikiwaza ada nachanganyikiwa
Naombeni naombeni