Kuna mwamba aliambiwa atoe 1 M afanyiwe mchongo loan board matokeo yk kapigwa chini na hela hakurudishiwa.Kuna mtu ni mfanyakazi wa heslb alinambia atanisaidia kuappel ishu ya bodi nipate mkopo kwa 100% akanambia kunisaidia nimpe elfu 30
Kweli nilimpa lakini kilichotokea hakunisaidia chochote alichukua hela hakuhangaika chochote kile
Nimeteseka sana, leo nimeingia mwaka wa 3 ada, kodi vinaniumiza kichwa, nina asilimia 40 tu ya mkopo
MwanaJf yoyote yule anayeweza nisaidia rufaa yangu ya bodi ikafanikiwa nikapata hata 100 ili tu nimalize mwaka na mm kwa kuweza kumudu kulipiwa ada na bodi ningemshukuru sana
Najua humu watu wa heslb mpo pls nisaidieni mwenye connection
DaaahKuna mwamba aliambiwa atoe 1 M afanyiwe mchongo loan board matokeo yk kapigwa chini na hela hakurudishiwa.