luckyperc
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 495
- 46
Nilichosikia mtu hautaruhusiwa kupiga kura kwa uchaguzi wa 2015 mpaka uwe na kitambulisho cha uraia (ID)!
Kwahili inanikumbusha jinsi watu walivyoshindwa kupiga kura kuanzia 2000's
Daftari lilipoanzishwa uelewa ulikuwa mdogo!
Uboreshaji wake ulikuwa matatizo!
Kuhamisha taarifa mahali ulipojiandikisha mwanzo!
Vyuo kufungwa!
Majina kutoonekana kwenye orodha!
................................
source:mdau wa NIDA
Kwahili inanikumbusha jinsi watu walivyoshindwa kupiga kura kuanzia 2000's
Daftari lilipoanzishwa uelewa ulikuwa mdogo!
Uboreshaji wake ulikuwa matatizo!
Kuhamisha taarifa mahali ulipojiandikisha mwanzo!
Vyuo kufungwa!
Majina kutoonekana kwenye orodha!
................................
source:mdau wa NIDA