Baada ya kupata teuzi Mkuu ndio akatulia, aliendelea kutukana na kupinga serikali hata mwendazake alivyotutoka Mpaka alipopata teuzi ndio akaja kutuliaHujui unaloliongelea wewe...hivi unamjua Kigogo alikuwa nani?...umesikia tena Kelele za Kigogo baada ya Mwendazake kuondoka?
Daah umenikumbusha mbali....maskini deo...mkewe mzuri kaishia kuliwa na zitoHuyo January ataanza kumaliza wenzie ili yeye awe Raisi na vigezo Hana , sisahau Alichomfanyia Deo Filikunjombe kwa sababu alijua Deo ndio kikazwo cha yeye Kua Waziri Mkuu Mungu alivyo mkubwa Deo kaondoka na January kaambulia Kua waziri wa Mazingira kwa muda mfupi
Ngoja tuone....nje ya baraza la mawaziri atoke rais? Haaa sijuiHuyu Mwigulu shida abadili tabia, anamajivuno na kujiona, na hajui kuchagua neno la kuongea. Hii itamwalibia. Ukiwa kiongozi onesha kujali, wananchi wakiumizwa unaumia nao.
Ila watanzania tunadhani Rais lazima hatoke kwa baraza la mawaziri. Usije shangaa tukapata Rais ambaye hayupo katika baraza la mawaziri na akawa mtu sahihi kwa wakati huo.
Kwa post hii ndipo ndugu yangu Pascal Mayalla uibuka na kauli ya "Duh!". Si kwa ufungukaji huu!Samia mwisho wake ni 2025.
Kama anapenda urais mwaka 2025 akagombee kwao Zanzibar pamoja na Mwinyi ila huku Tanganyika hii bahati aliyopata ndio ya kwanza na ya mwisho.
Wazanzibari nafasi yao ni makamo wa rais tu na sio urais. Wawe tu wanaombea rais afe washike nchi kwa muda mfupi uliobaki.
Hilo ni moja, la pili, huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana. Sasa hivi kila kitu anasema anaenda kuomba, juzi akiwa arusha anaulizwa stendi anasema ataomba hela, madarasa alisema ameomba mahala hela, kila kitu anasema anaomba sehemu hela. Sasa Tanzania haina tofauti na Afghanistan, ni omba omba wa kila kitu.
Haiwezekani unaongoza nchi kwa kuomba omba. Mkapa aliwahi kusema, utegemezi hudumaza na heshima inashuka ukiwa omba omba. Tanzania sasa imekua omba omba kwa vitu hata ambavyo tungeweza kufanya wenyewe. Ama huyu mama anaamini Wazungu wanatupenda saaana watanzania pale akiomba wanampatia?
Jana nimemsikia anasema aliamua kuwaondoa machinga eti kisa wazungu waliogopa kuja kwa sababu machinga wakikwapua pochi wanapotelea kwenye vibanda sio rahisi kupatikana ila sasa mtu akikwapua pochi ni rahisi kupatikana, yaani huyu mama anaamini watanzania wote ni wezi, kwamba machinga wote kazi yao ni kukwapua vipochi vya wazungu.
Tanganyika tukiendelea kuweka watu kama hawa madarakani basi maendeleo tutaendelea kuyasikia redioni.
Kumbusha kaka....edit piaMkuu hapokwenye mkolezo panaitaji editing kidogo! Labda vice vesa ndogo tu!
Strategic mission!!!(jokes)Lakini mzee Yusuf alikuwa anahudhuria ibada pale KKKT kijitonyama enzi za Hizza!
Acha kutaja wajinga wajinga kwenye mambo seriousWw mbona muongo hivi....toka lini january akawa mvaa rozari......mchekini mwigulu vizuri ndio material tegemewa upande wa kaisari....hatujapata mtu mwingine....nyie endeleeni kumzarau hivyohivyo lakin kuna jambo kwake
Wahusika wamtunze kijana fulani atakaye livusha taifa. Lakini, ni jambo la kusikitisha muda huu kujadili uchaguzi wakati watanzania bado hawaoni muendelezo wa kuwavusha kutoka utegemezi....!!!!Miaka 10 ijaya atakuwa na 75 years...unadhani watu watakuwa wanamuelewa?
Awe mgalatia asiwe mgalatia wasaka urais kwa mtindo wa makamba kawaida ni wapigaji hawafai. Kwa wengi tunataka magufuli mpya 2025 sio 2030. Nchi inahitaji iwe chini ya mtu anavaa viatu size ya magufuli ili twende mbele.Namshauri tu kulingana na utamaduni wa CCM inaeleweka wazi baada ya Rais Samia kumaliza muhula wake wa pili 2030 atakayepokea kijiti ni mgombea kutoka kwa Wagalatia.
Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mimi ni mtanzania halisi msimamo wangu unakwenda na Rais aliye hai anayepewa manifesto ya CCM.Yule uliyekuwa unamuabudu jpm alivyokufa ulinuna au ulitaka kujinyonga!? Naona umeisaliti Sukuma gang . Sasa hivi timu MAMA..Mgeni Aje Machinga Afukuzwe
Manifesto ya chama ni ipi!? Kuna corona au hakuna corona!? Machinga wafanye biashara mpaka ikulu au machinga ni wezi wanaibia wageni wetu wanaotupa mahela!? Hiyo manifesto bila shaka ni upuuzi mtupu. Hata jpm tulijua atatawala milele.Mimi ni mtanzania halisi msimamo wangu unakwenda na Rais aliye hai anayepewa manifesto ya CCM.
Sina ushamba wa kuwa team fulani ya Kiongozi fulani huko nimeshavuka siku nyingi.
Mama Samia unae mpaka 2030 tukiwekwa hai.
Mkuu hivi unaelewa maana ya maendeleo? We unajichanganya sana. Umesema mama anaomba ha na anapewa sasa hayo si ndo maendeleo. Au ulitaka tuzokatae hizo hela ili maendeleo yajilete yenyewe automatically bila hela. Labda mi sijakupa vozuri!!Samia mwisho wake ni 2025.
Kama anapenda urais mwaka 2025 akagombee kwao Zanzibar pamoja na Mwinyi ila huku Tanganyika hii bahati aliyopata ndio ya kwanza na ya mwisho.
Wazanzibari nafasi yao ni makamo wa rais tu na sio urais. Wawe tu wanaombea rais afe washike nchi kwa muda mfupi uliobaki.
Hilo ni moja, la pili, huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana. Sasa hivi kila kitu anasema anaenda kuomba, juzi akiwa arusha anaulizwa stendi anasema ataomba hela, madarasa alisema ameomba mahala hela, kila kitu anasema anaomba sehemu hela. Sasa Tanzania haina tofauti na Afghanistan, ni omba omba wa kila kitu.
Haiwezekani unaongoza nchi kwa kuomba omba. Mkapa aliwahi kusema, utegemezi hudumaza na heshima inashuka ukiwa omba omba. Tanzania sasa imekua omba omba kwa vitu hata ambavyo tungeweza kufanya wenyewe. Ama huyu mama anaamini Wazungu wanatupenda saaana watanzania pale akiomba wanampatia?
Jana nimemsikia anasema aliamua kuwaondoa machinga eti kisa wazungu waliogopa kuja kwa sababu machinga wakikwapua pochi wanapotelea kwenye vibanda sio rahisi kupatikana ila sasa mtu akikwapua pochi ni rahisi kupatikana, yaani huyu mama anaamini watanzania wote ni wezi, kwamba machinga wote kazi yao ni kukwapua vipochi vya wazungu.
Tanganyika tukiendelea kuweka watu kama hawa madarakani basi maendeleo tutaendelea kuyasikia redioni.
JPM yupo kaburini huu mwezi wa saba unakwenda wa nane. Wewe ni wale wenye machungu, hueleweki. Unamchukia JPM, unamchukia Samia, akija mwingine pia utamchukia.Manifesto ya chama ni ipi!? Kuna corona au hakuna corona!? Machinga wafanye biashara mpaka ikulu au machinga ni wezi wanaibia wageni wetu wanaotupa mahela!? Hiyo manifesto bila shaka ni upuuzi mtupu. Hata jpm tulijua atatawala milele.
Nachukia upuuzi unaofanyika.JPM yupo kaburini huu mwezi wa saba unakwenda wa nane. Wewe ni wale wenye machungu, hueleweki. Unamchukia JPM, unamchukia Samia, akija mwingine pia utamchukia.
Punguza unyonge usio na sababu.
Ni nani alieweka huo utaratibu? Ccm kila muda mnafikiria uchaguzi tu yaani uchaguzi mkuu umefanyika mwaka jana ila bado akili zenu zipo katika uchaguziNamshauri tu kulingana na utamaduni wa CCM inaeleweka wazi baada ya Rais Samia kumaliza muhula wake wa pili 2030 atakayepokea kijiti ni mgombea kutoka kwa Wagalatia.
Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Na wewe ni mwehu siku zotewewe ni taahira siku zote