Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,630
- 86,336
CCM hawajahi kushinda chaguzi yoyote hata Tony Diaalo alikiri hivyo last timeUchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.
Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa