Kama issue ya gazeti la Uhuru siyo spinning, basi Mwenyekiti wa CCM Hana watu kabisa

Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.

Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
CCM hawajahi kushinda chaguzi yoyote hata Tony Diaalo alikiri hivyo last time
 
Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.

Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
Naweza kusema walau magufuli alikua na uugwaji mkono. Ila huyu mama sio siri mitaa haimkubali, wale waliokua magufuli damdam hawamuelewi kabisa uyu maza.

Kaja kuwakimbiza zaidi wapiga kura wake kwenye hii ishu ya chanjo, tumeona kule wazazi wanaandamana mashuleni hao wote ukiwauliza kuhusu Samia jibu lao ni moja tu kua hawamkubali.

Kama hiyo 2025 atagombea basi nguvu itakayotumika ni zaidi ya miaka yote kwasababu huyu mtu ni hakubaliki jama. Cha ajabu sasa kwa watu wa karibu yangu wanawake wenzie ndio hawamkubali zaidi.
 
Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.

Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
Kwa interview ile, ni wazi kuwa;

å Hajui nini kinaendelea ndani ya nchi yake ambaye yeye ni Rais wake...
å Hajui katiba na sheria za nchi
å Hafai kuwa kiongozi ktk ngazi hiyo ya Urais...
å Wapinzani wake ndani ya chama na serikali walikuwa sahihi kutompa nchi mara baada ya Magufuli kufa na kuzikwa. Bahati njema akaokolewa na katiba ya nchi, wakaamua wampe "the benefit of the doubt". Sasa it's justifiable kuwa she's unfit to the presidential job...
 
Issue sio kutokuwa na watu peke yake, inawezekana nae hayupo vizuri kwenye kupanga mbinu zake ili kukabiliana na maadui zake chamani.
Ujue yule ni mwanamke ukumbuke alikutana na mwanaume, inawezekana alipangwa vizuri cha kusema, Bahati mbaya ndo hivo tena
 
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:

* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi

* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea

* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?

Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?

Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema

Ile ilikuwa Futuhi ndiyo ni FUTUHI.
 
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:

* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi

* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea

* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?

Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?

Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema
Namba tatu kwani hilo ni eneo langu katika muktadha wa political spinning, diluting double standards absence.
 
Back
Top Bottom