really i cn die kwa ajil ya mafisadi.hv jamani watu hawaoniiiiiiiii?au ni elimu ndio haijafika kwa wananchi au ni kip kinachofanya watu wa mikoa ya moro,tanga mtwara na mingine kama hiyo kuwapa kura watu wasiowajali?JAMANI TUFANYEJE TUYATOE HAYA MAFISADI?YAMESHAJONGEA MJENGONI......nawaambia mwaka huu chenge akishika uspika hutokaa usikie ufisadi ukizungumzwa wala hutosikia mambo ya rushwa kubwa kama hizo yakipekenyuliwa LAZIMA yazuiliwe chinichini.nionacho ni hiki chenge atajifanya kumpondea sita na akiukwaa tu TUTAKIONA.