Wazee hata kipofu wameona na viziwi wamesikia kilichotokea kwenye uteuzi wa haya majina ya wagombea ubunge. Nimepitia list nzima ya majina kiukweli wamejaa watoto wa waliokuwa viongozi kwenye awamu zilizopita na hata watoto wa viongozi wa sasa.
Pia hata nikizaliwa mara ya pili sitaamini kuwa Mama Salma au Riz hawana wapinzani kwenye majimbo yao. Mimi ni mwanaCCM ila kwa mwelekeo huu ninakubali nitaendelea kuwa mkereketwa ila uongozi ni ngumu sana kutoboa. Kwa bahati sijawahi kugombea chochote. Nina amani kuwa mwanachama tu.
Kina Lucas Mwashambwa chiembe MamaSamia2025 Pascal Mayalla johnthebaptist Magonjwa Mtambuka ChoiceVariable na wanaCCM wengine zingatieni huu uzi mjikinge na magonjwa kama presha.
Pia hata nikizaliwa mara ya pili sitaamini kuwa Mama Salma au Riz hawana wapinzani kwenye majimbo yao. Mimi ni mwanaCCM ila kwa mwelekeo huu ninakubali nitaendelea kuwa mkereketwa ila uongozi ni ngumu sana kutoboa. Kwa bahati sijawahi kugombea chochote. Nina amani kuwa mwanachama tu.
Kina Lucas Mwashambwa chiembe MamaSamia2025 Pascal Mayalla johnthebaptist Magonjwa Mtambuka ChoiceVariable na wanaCCM wengine zingatieni huu uzi mjikinge na magonjwa kama presha.