kianja kyamutwara
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 200
- 206
Upo sahihi100 % watu hawafanyi kazi ipasavyo, hawali wamejawa husuda kutazama ya watu ndo maana usingiz inakua tabu mm niingiapo kitandani siwez zid dakika kumi hadi kumi na tano nipo fofo.Kuna msemo kwamba "Mafundi seremala ndio wanaoongoza kwa kupata usingizi mzuri." Jiulize kwa nini? Usingizi ni sehemu ya burudani kwa mwanadamu. Burudani yoyote ile inahitaji maandalizi ili mwili uifurahie.
1. Hakikisha mwili umelishwa vizuri na kuchoshwa kwa kazi halali ya kipato
2. Hakikisha akili imelishwa chakula chake bora na cha kiafya
3. Hakikisha moyo wako umesafishwa na hauna mzigo wa husda, chuki, wivu, na negatives kama hizo
Hapo dakika 5 tu ushasinzia sana tu, wanaweza kukuhamisha hadi Kongo bila kujua