MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,295
- 39,977
Angalia picha hapo. Sina haja ya kuelezea zaidi. Cha muhimu KAMA HUNA NIDHAMU YA PESA KAMWE USITHUBUTU KUFANYA HIYO BIASHARA.
Akikujibu unitagBiashara Gani haihitaji nidhamu ya pesa
Swali zuri, ipi haihitaji nidhamu ya pesa?Biashara Gani haihitaji nidhamu ya pesa
HaipoBiashara Gani haihitaji nidhamu ya pesa
Kichwa chako kimejaa Moshi.Angalia picha hapo. Sina haja ya kuelezea zaidi. Cha muhimu KAMA HUNA NIDHAMU YA PESA KAMWE USITHUBUTU KUFANYA HIYO BIASHARA.
Yaani ule msosi wa elfu tano anaoukula Dada anayeuza na bodaboda aliyopanda kwenda na kurudi jumla elfu 8.biashara ya grocery inahitaji mtu mwenye discipline ya fedha sana kwa sababu faida zake ni ndogo mno tofauti na biashara nyingine unakuta mtu anakula faida pasu kwa pasu .
Naona mmeamua ku-cricticise ila mada mmeelewa nilichomaanishaBiashara zote zinahitaji nidhamu ya pesa
Biashara zote zinahitahi nidhamu ya fedha ila kuna ambazo hazina risk kubwa ya kula mtaji kama hii ya duka la mangi. Biashara zingine nyingi faida yake huwa karibia sawa na bei uliyonunulia mzigo kwa hiyo ukila hata 20% percent ya mauzo bado unakuwa hujagusa mtaji.Biashara Gani haihitaji nidhamu ya pesa
Jaribu kuzalisha uone. Maafisa TRA watafikishia malengo ya kodi kwako.Mbona kama kila kitu kinachouzwa hapo ni imported? inaonekana opportunities bado ni nyingi sana Tanzania