- Thread starter
- #41
tufafanulie mkuuMe nipo kukaangoni siyo ndoani
tufafanulie mkuuMe nipo kukaangoni siyo ndoani
Mkuu sijawahi kusikia tangazo baya dunia.
Hii itakuwa wanatufariji kuingia kitanzini
Ni raha zipi anazopata aliye katika Ndoa ambazo asiye na Ndoa hazipati?
Haya mbona huwa hamyasemi mnapowasakama wanawake kuhusu kuolewa!!!Ndoa ni kupotezeana muda tu,i hate it,ntakua na watoto tu
Na kwa mentality hiyo uishi peke yako tu usijemuingiza mtoto wa watu ktk kitanzi cha maisha.me sipo kwenye ndoa na sigemei kwa kipindi hiki labda baada ya miaka 10 baadae
nikija kwenye mada mimi naona hiyo heading yako ingekaa hivi “kama wewe ni mwanamke huna ndoa basi hujapata raha ya dunia” sababu mimi naona mwanamke akiolewa kwanza inamjengea heshima kubwa pia anakua ametimiza ndoto yake ya miaka mingi na mengineyo ila kwa mwanaume ndoa ni kama kitanzi yaani unajitundika mwenyewe kwanini???.........
Heshima ya mwanamke ndoa inatubidi tu kukamilisha dhumuni lenuHaya mbona huwa hamyasemi mnapowasakama wanawake kuhusu kuolewa!!!
Nani amewasakama wanawake kuhusu kuolewa?Haya mbona huwa hamyasemi mnapowasakama wanawake kuhusu kuolewa!!!
Kumbe hiyo heshima ni ya mwanamke tu na sio mwanaume!! I wonder why Mungu alimuumba Hawa.Heshima ya mwanamke ndoa inatubidi tu kukamilisha dhumuni lenu
Sasa km mtu anamuoa dada wa watu alafu mama mkwe anamwambia mwanae usimshirikishe mkeo chochote uachofanya na familia inakuwa km inakutenga bila sababu only kwa kuwa wewe ni kabila flan sasa hiyo ndoa ama kikaango?maana ya ndoa hapo haipotufafanulie mkuu
Heshima ya mwanamke ni ndoa.Kumbe hiyo heshima ni ya mwanamke tu na sio mwanaume!! I wonder why Mungu alimuumba Hawa.
hata kwa mwanaume piaHeshima ya mwanamke ni ndoa.
Kama unabisha hamna tatizo bibie.