Kama huna ndoa bado hujapata raha ya dunia

Kama huna ndoa bado hujapata raha ya dunia

Wakuu,

Nimekuwa nikielezwa hii kauli mara kadhaa sasa...Walioko kwenye naomba mtufahamishe kuhusu ukweli wa hili jambo. Na kama lina kweli kwann tunashuhudia kila kukicha ndoa zikivunjika?

Ni hayo tu.
Ndoa ina karaha zake. Kama hujawahi ingia kwenye ndoa sio rahisi kuelezewa, labda uelezee raha ya dunia ni nini ili twende sawa
 
Mimi ukitaka tugombane niletee habari za ndoa
 
Back
Top Bottom