sema wewe kiazi,mie mhogo nina mzizi!Halina ubishi kuwa kukaa kimya (hata kama wewe si mkimya) ukiwa na hasira ni dawa. Lakini tusisahau kuwa kuongea pia ni hulka. Hivyo ni ngumu sana kwa muongeaji kukaa kimya.
Na kwa experience yangu mtu mwongeaji akikaa kimya utatamani aongee maana huo mnuno utakuwa una speak louder than voice.
Kukaa kimya ni one thing...ku pretend as if nothing happened ni another; mimi mume wangu anapenda niongee nikiwa na kitu maana nikikaa kimya namuona anavyohangaika...nyumba inakuwa ndogo...anaweza asile hata kula. Utasikia 'mbona umenuna?; Mi: 'Kwani nimenuna?' Yeye sasa ndio anaanza kununa mara mbili yangu, kisa mimi nimemnunia; inabidi nianze kujiongelesha mwenyewe.
Asabaya kama hivi...., ndio mpango mzima..... hapo hata tunda haliliki mwanawane
NATA sidhani kama nilizungumzia kununa katika uzi huu, mie nimezungumzia kunyamaza wakati mwenzako anapo-RAP.... Namaanisha kwamba, kuna wakati mwenzako anaweza kupandwa na hasira kupita kiasi na akawa anafoka kwa hasira, iwapo utajaribu kujibu hoja, inaweza kuleta mtafaruku mkubwa zaidi, na hapo ndipo inaposhauriwa kwamba wakati mwingine kuna umuhimu wa kukaa kimya ilikuepusha kisirani kikubwa zaidi...Mh kununa jamani kunatisha
Bora mtu uyaseme ya moyoni yaishe, maana mnuno unamajibu mengi likiwemo la dharau.
Mimi siwezi kupata usingizi nikinuniwa, lazima ntatafuta sululu kabla ya kulala.
NATA sidhani kama nilizungumzia kununa katika uzi huu, mie nimezungumzia kunyamaza wakati mwenzako anapo-RAP.... Namaanisha kwamba, kuna wakati mwenzako anaweza kupandwa na hasira kupita kiasi na akawa anafoka kwa hasira, iwapo utajaribu kujibu hoja, inaweza kuleta mtafaruku mkubwa zaidi, na hapo ndipo inaposhauriwa kwamba wakati mwingine kuna umuhimu wa kukaa kimya ilikuepusha kisirani kikubwa zaidi...
mimi nitaelewa kwamba bado kidogo atanipa.
snowhite suppose unaongea na mwenzi wako halafu anakuangalia kwa jicho la namna hii na hajibu kitu, hajitetei wala haombi msamaha.... wewe utamuelewaje hapo.... anakiri makosa yake? au anakupuuza?
wakishanuniana hivi halafu wakipatana hiyo game yake shuka zitahadithia babaake.Mtambuzi hapa mbona naona kama mnuno flani hivi, maana naona hakuna anyeongea.
halafu akishadundwa baadae hufuraia sana tendo na kilio cha furaha atatoa wakati akidundwa anakimbilia fagio eti kulipiza.Haya na wale wanawake wenye kupenda kugeuzwa ngoma ya mdumange hadi reception inabomolewa wanawekwa ktk kundi gani?
Manake atachonga mdomo weeee kumbe anasubiri ngumi ili afunge mdomo wake. kwa lugha nyepesi, anapenda kudundwa.
Ha ha ha ha haaaaaamh! nakumbuka saturday moja hali ilkuwa hivyo halafu tumeshinda hom wote ilipofika sa moja uvumilivu ukanishinda nikazama kwa zipu na kutafuta vinavyonihusu.
nikajipakulia mwenyewe wakati naanza kula jamaa akanipa ushirikiano mweeeeeeee kitu kilinogajeee kumaliza tushasameheana kilichofuata nikuoga na kwenda club,mapenz jamani we acha tu.