jimmy scami
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 333
- 562
Yule ambaye atakataliwa na timu zote ila hataki kutoka anaitwa nyama. Ni adui wa kila timu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule ambaye atakataliwa na timu zote ila hataki kutoka anaitwa nyama. Ni adui wa kila timu.
😂😂😂😂 kuna jamaa alikuwa ananitesa sana kumfunga, alikuwa kibonge kweli. Issa sijui sasa hivi unadaka nini uko uliko mana sio kwa sifa zile za udakaji wako na ubabe juu.Kibonge kuliko wote anakaa golikipa.
kipa anaweza badilika wakati wowote hasa wakati wa penalti
mwenye mpira akifunga goli na kama mnalikataa anaweka mpira kwapani na ndo mwisho wa mechi
mwenye mpira akichoka hushika mpira na kumpa nafasi yake mtu yeyote anayemtaka bila kijadiliwa