MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
hapo mnabadilishana mkitoka holiday na dem unampiga chini.sio wa kuoa hao
Nasikia mtu anafanya vituko akilewa eti kesho yake hakumbuki kuna mshikaji wangu alinipa siri alisema unakuwa unakumbuka ila inabidi upotezee eti "hukumbuki" hehehehe
Hiyo ya huyu jamaa kwenye reproduction tulisoma inaitwa uchevushaji pweke............
wana umri gani?
hehehehe, hao madada ni nowmaa, naweza pata namba zao?
nimeipenda signature yako naiomba