John locke
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 828
- 1,262
10.kufukuzia mdundiko hadi unajikuta umefika mtaa wa mbaali na nyumbani...kurudi sasa ndio issue,na giza limeingia,so una uhakika wa kumkuta mama ankusubiri mlangoni na bakora
11.kuweka foleeni kwa mawe enzi Ile mnasubiri mgawo wa sukari au mchele duka la kaya
12. Kuokota vyuma chakavu na kwenda kupima enzi hizo kilo moja Tsh. 20. Kipindi hicho kila cku polisi kitaa hawaishi mara leo wamekuja kukamata wamaza wauza gongo kesho wacheza kamari yaani burudani mpaka basi