Jovanny hm
Member
- Jun 5, 2019
- 31
- 25
Hello wanajukwaa,
Naomba kuuliza , hivi inawezekana kuripoti chuo bila kulipa direct cost kama vile za hostel,afya,capitation fee nk. na kusubiria mkopo ili kuzilipa kupitia mkopo.
Mkopo nimepata first batch, ila sijajua kama nitaweza kutumia boom kulipia baadhi ya direct cost wakat na ripoti.
Kama hili haliwezekani basi TCU ihusike
Naomba kuuliza , hivi inawezekana kuripoti chuo bila kulipa direct cost kama vile za hostel,afya,capitation fee nk. na kusubiria mkopo ili kuzilipa kupitia mkopo.
Mkopo nimepata first batch, ila sijajua kama nitaweza kutumia boom kulipia baadhi ya direct cost wakat na ripoti.
Kama hili haliwezekani basi TCU ihusike