mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
1.hussein mwinyi waziri wa afya=mtoto wa ally hassan mwinyi.
2.vita kawawa na dada wake wabunge wa ccm =watoto wa rashid kawawa.
3. David matayo mbunge na naibu waziri wa ccm=mtoto wa cleopa msuya.
4.binti wa sokoine mbunge ccm arusha=mtoto wa edward sokoine.
5.mtoto wa bilali mbunge wa east africa ccm=mtoto makamu wa rais bilal.
6.makongoro nyerere=mtoto wa nabii wetu wa tanzania nyerere.
7.nape nauye katibu mwenezi ccm=babake ni nnauye alikua kada wa cnaomba mwenye majina zaidi atujuzecm.
8.mtot wa getrude mongela ni mkuu wa wilaya moja tz.
nape anapowasema chadema kwamba ni chama cha ukoo hapo juu vipi ?
Aliyekuwa katibu Mkuu kiongozi Philemon Luhanjo mtoto wake ni muajiriwa wa BOT na pia mtoto wa kike wa Kawawa na yeye ni muajiriwa wa BOT.