Standalone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 676
- 576
Huu ni mwaka Muhimu sana kwa Watanzania hasa Vijana…October 2015 tutafanya Uchaguzi Mkuu…
Sifa ya kupiga kura ni kuwa Kujiandikisha na Kupata kadi ili tuweze kuwaondoa hawa mafisadi, wala Rushwa, Wahujumu Amani Wa CCM Madarakani..
Nawaomba Watu wote tujiandikishwe kwenye daftari la kudumu ili tuwe na sifa ya kupiga kura ifikapo wakati wa uchaguzi mkuu. Kama hautajiandikisha na kuwa na kadi ya kupiga kura wewe sio Rafiki wala mwenzangu.
#Lazimakujiandikishakupigakura
Sifa ya kupiga kura ni kuwa Kujiandikisha na Kupata kadi ili tuweze kuwaondoa hawa mafisadi, wala Rushwa, Wahujumu Amani Wa CCM Madarakani..
Nawaomba Watu wote tujiandikishwe kwenye daftari la kudumu ili tuwe na sifa ya kupiga kura ifikapo wakati wa uchaguzi mkuu. Kama hautajiandikisha na kuwa na kadi ya kupiga kura wewe sio Rafiki wala mwenzangu.
#Lazimakujiandikishakupigakura