RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,526
- 135,654
Yaani wewe ndio la sita B. Ungekuwa hata Form 2C ungejua nini cha kufanya.Brother hata la sita B naye mwafunzi
Kwan mpaka anakuja hajui ankuja kufanya nn
Yaani wewe ndio la sita B. Ungekuwa hata Form 2C ungejua nini cha kufanya.Brother hata la sita B naye mwafunzi
Kwan mpaka anakuja hajui ankuja kufanya nn
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]Yah maana wasanii wote wa shule na wachezaji mpira bora nimesoma nao la sita B
Nakusalimu kamandaMmmmh
Hapana hapewi mkuu ni anaambiwa safar njema tuyani pamoja na mashauzi hayo na wewe bado unampa na nauli?
Unajuaje kuwa atakunyima wakat amekubali kuja mkuu na ushamweleza kila kitu, hayo yanatokea baada ya kufikaUnamwitia nini wakati unajua anakunyima sasa wote akili sawa tu
Haaa mkuu nirukishe basi nifike form 2c ili nijue la kufanya kama kuniambia hutakiYaani wewe ndio la sita B. Ungekuwa hata Form 2C ungejua nini cha kufanya.
Kwa hiyo unamfananisha mleta mada na choo cha shimo.?Mbona Chooni hupapendi ila unaenda tu?
Maajabu zaidi hapakuiti...unaenda mwenyewe,
Salama mkuuu hivi mshindi alishapatikana maana nilikuwa busy kubembelezaNakusalimu kamanda
Unavyomuita mueleze kabisa lengo lako itakusaidia. Aje aoshe vyombo au kupika kwan mkeo? Pili aondoeje vyombo wakati ni mgeni jaman? Tatizo hamuwi wawazi. Nashaur next time mwambie kabisa ulichomuitia
Unaona mazuri mpaka unachekaHahahah
Hahaa mkumbushe apake viatu kiwi na soksi atafute zilipo asituletee ubashite![emoji121]
KESHO SHULE ZINAFUNGULIWA,
NA NYIE FORM TWO MNA MOCK HIVI KARIBUNI NYIE.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] yule ananiitia wapi wkt tunaishi wote?STUNTER huwa anakuambia alichokuitia?🙂
Salama mkuuu hivi mshindi alishapatikana maana nilikuwa busy kubembeleza
Huyo jamaa si kamwita mwnyw uyo demu getoni,alitegemea nn.[emoji1]Unaona mazuri mpaka unacheka
Bidhaa moja hivi matata sana ila zinavituko balaaAah mimi nimechoka bwana demu demuuu ndio bidhaa gani hiyo?
Sipigani bila shaka watu wa makaoiku forums tunafahamiana tu mkuuKwa hiyo unamfananisha mleta mada na choo cha shimo.?
Dah.! Mleta mada usipopigana leo ndo hupigani tena[emoji12] [emoji100]
Nilionaga soksi za pundamilia kwenye pocha ya mzee naweza pata wapi zile kwa sasa niende nazo jumatatuHahaa mkumbushe apake viatu kiwi na soksi atafute zilipo asituletee ubashite!