miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
Habari zenu
Leo nimekutana na jambo hospital ikanibidi tukumbushane wakuu.. mama alikuwa anambadili diaper mtoto wake me nipo karibu mtoto kanangozi kama ya mamba huku akianimbia kwa madaha yani mwanangu kila diaper inamkataa. Nikamwangalia nikapata hasira nikamwambia si lazima kuvaa hizo disposable diaper... nikaona na huku niwakumbushe tu...
Kwanza tukubaliane tunatesa watoto kisa ubussy wa kutafuta pesa na pia vipesa vyetu tukivipata ndiyo hatari zaidi...
Adhabu ambayo tayari na naona inatosha Kumwacha mtoto na dada wa kazI na kutuona wazazi weekend tu. Huku hatujui wanaishi vipi ila tunamwachia Mungu hili..
Kingine kumvalisha mtoto diaper hasa hizi za kutupa 24/7 mtoto kafungwasha mzigo huko hasa maeneo ya joto ni mateso sana kwa watoto embu imagine tukiwa mp tu kero yake .. lakini sijui tunahisi mtoto anakuwa tofauti? May be.
Haya madaiper yanaletea watoto UTI, michubuko vipele lakini tumekomaa tu na kubadilisha brand... tuache kufanyia watoto majaribio.
Kama mtoto yupo nyumbani mnunulie vikaptula vya pamba vya kutosha abadilishwe kila anapojisaidia na asubuhi kabla ya kwenda kazini fua anika ondoka akiwa analala avalishwe nepi au hiyo diaper sasa..
Kama ni lazima mtoto avae diaper basi usiwe mkali dada anapombadili mtoto mara kwa mara unakuta una mbajetia dada atumie tatu may be kwa siku na akitumia zaid unamind as if kavaa yeye. Mwisho wa siku tunaumiza mtoto kwa kuachwa na uchafu muda mrefu ili boss aridhishwe jamani embu tubadilike.
Wenzetu wanaangalia ubora kuliko wingi .. ila sisi tunaangalia wingi kuliko ubora .. nyingi zinazokuja kwetu hazipo katika ubora huo tunaofikiria...
SI LAZIMA KUMVALISHA MTOTO HIZO DISPOSABLE DIAPER HATA KAMA UNAINGIZA MILIONI ISHIRINI KWA SIKU KAMA HAI MKUBALI MWANAO ACHA MAVALISHE NEPI FUA HUTABADILIKA NA KUWA MASKINI.. .
Siku njema msalimie mwanao..
Leo nimekutana na jambo hospital ikanibidi tukumbushane wakuu.. mama alikuwa anambadili diaper mtoto wake me nipo karibu mtoto kanangozi kama ya mamba huku akianimbia kwa madaha yani mwanangu kila diaper inamkataa. Nikamwangalia nikapata hasira nikamwambia si lazima kuvaa hizo disposable diaper... nikaona na huku niwakumbushe tu...
Kwanza tukubaliane tunatesa watoto kisa ubussy wa kutafuta pesa na pia vipesa vyetu tukivipata ndiyo hatari zaidi...
Adhabu ambayo tayari na naona inatosha Kumwacha mtoto na dada wa kazI na kutuona wazazi weekend tu. Huku hatujui wanaishi vipi ila tunamwachia Mungu hili..
Kingine kumvalisha mtoto diaper hasa hizi za kutupa 24/7 mtoto kafungwasha mzigo huko hasa maeneo ya joto ni mateso sana kwa watoto embu imagine tukiwa mp tu kero yake .. lakini sijui tunahisi mtoto anakuwa tofauti? May be.
Haya madaiper yanaletea watoto UTI, michubuko vipele lakini tumekomaa tu na kubadilisha brand... tuache kufanyia watoto majaribio.
Kama mtoto yupo nyumbani mnunulie vikaptula vya pamba vya kutosha abadilishwe kila anapojisaidia na asubuhi kabla ya kwenda kazini fua anika ondoka akiwa analala avalishwe nepi au hiyo diaper sasa..
Kama ni lazima mtoto avae diaper basi usiwe mkali dada anapombadili mtoto mara kwa mara unakuta una mbajetia dada atumie tatu may be kwa siku na akitumia zaid unamind as if kavaa yeye. Mwisho wa siku tunaumiza mtoto kwa kuachwa na uchafu muda mrefu ili boss aridhishwe jamani embu tubadilike.
Wenzetu wanaangalia ubora kuliko wingi .. ila sisi tunaangalia wingi kuliko ubora .. nyingi zinazokuja kwetu hazipo katika ubora huo tunaofikiria...
SI LAZIMA KUMVALISHA MTOTO HIZO DISPOSABLE DIAPER HATA KAMA UNAINGIZA MILIONI ISHIRINI KWA SIKU KAMA HAI MKUBALI MWANAO ACHA MAVALISHE NEPI FUA HUTABADILIKA NA KUWA MASKINI.. .
Siku njema msalimie mwanao..