ngurasu aba
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 105
- 29
Nipo Bariadi wilaya kubwa ya mkoa huu wa Simiyu, nilitegemea kuona watu wa huku wakimuunga mkono Magufuli kutokana na kwamba ni wa kanda yao lakini isivyo tegemewa ni kwamba huku vijana weng wanaonekana kuunga mkono M4C na hawataki kusikia CCM, labda kwa kiasi kidogo wazee weng bado wameikumbatia CCM wakidai imewakuza, hii hali itampa mtihan mzito sana mgombea urais kupitia CCM mh. Magufuli kuubadili upepo wa kisiasa katika kanda yake kwani huku Lowassa na dr. Slaa wanaonekana kukubalika sana na vijana wengi katika wilaya hii ya Bariadi.