Kama Emirates wanalipwa hivi, hapa bongo wanalipwaje?

Kama Emirates wanalipwa hivi, hapa bongo wanalipwaje?

bongo sidhani kama kuna air hodtese wanaolipwa zaidi ya dolla 1000 or 800. thats the hihgest
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo mshahara ni siri ya mtu
hata nje mshahara ni siri yako ...wachache sana wanasema labda wakiwa maceleb au nyadhifa za serikali
 
hata nje mshahara ni siri yako ...wachache sana wanasema labda wakiwa maceleb au nyadhifa za serikali
Nje mshahara siyo siri. Huwa wanaianika kwenye website hata kama mtu siyo celeb.
 
Wanalipwa vizuri, wanalipiwa nyumba ya kuishi na mahoteli ya kupumzika baada ya safari ndefu, wanalipiwa mafuta kwa wenye usafiri, na pia wanatumia magari ya shirika kwenda na kurudi majumbani sasa kwa mwanamke akilipwa hivyo kwa elimu yake ya certificate ya miezi 9 ya cabin crew unafikiri anakosa nini hapo kujilinganisha na ww ulosoma hadi degree kwa miaka 3 na unalipwa laki nane (8)?
 
Back
Top Bottom