Kama Emirates wanalipwa hivi, hapa bongo wanalipwaje?

Kama Emirates wanalipwa hivi, hapa bongo wanalipwaje?

mmmh ngoja nikae kimya maana watakuja wazee wa [HASHTAG]#TheGovernment[/HASHTAG] mi sitaki kua shaidi aseee
Mshahara wako ww unaweza kuwa tip kwa mwingine
Imagine mtu analipwa mil 35 kwa mwezi mwingine analipwa laki nne
huo uwiana sio wa mchezo mchezo.
 
Mshahara wako ww unaweza kuwa tip kwa mwingine
Imagine mtu analipwa mil 35 kwa mwezi mwingine analipwa laki nne
huo uwiana sio wa mchezo mchezo.
eeeeh ni sahihii tu,
maana hakuna namna, nan alisema nisisome??
nan alisema nisiwe mbunifu??
wacha tu nilipwe laki 1.5 afu nafurahi na maisha yanaenda
 
Back
Top Bottom