likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,091
ILA HAWA MACABIN CREW NI WAREMBO ASEH, KWANZA MAISHA YAO NI KWENYE NDEGE, HOTELINI, NYUMBANI HAKAI SANA.. MUDA WOTE ANANAWIRI.. NITAKUJA KUOMBA NAMBA, JAPO MARA MOJA.
Sasa mimba hawabebi?ILA HAWA MACABIN CREW NI WAREMBO ASEH, KWANZA MAISHA YAO NI KWENYE NDEGE, HOTELINI, NYUMBANI HAKAI SANA.. MUDA WOTE ANANAWIRI.. NITAKUJA KUOMBA NAMBA, JAPO MARA MOJA.
bro nje sehemu gani maana nimeishi nchi a ulaya kama 10... nikupe kituko.. nilikaaa birmingham na wafanyakazi wa serikali wanawake wote walikuwa wanalipwa kiasi kidogo kuliko wanaume. wakaja gundua miaka ya 2015 wakagoma wakadai iongezwe wakati imekuwa hivyo miaka takriban 70.. ndo wakawekwa mishahara sawa leo hii. google that. leo wewe uko hapa unasema mishahara ya nje iko kwenye website... hahaha andika basi io website hapaNje mshahara siyo siri. Huwa wanaianika kwenye website hata kama mtu siyo celeb.
ahsante. nipe hela nkasome chuo niwe naongeza pathetic kama weweYour English words are pathetic my friend!
apano kwa nje tangazo la ajira linasema kwa mwaka ni kiasi gani, unaomba kazi ukiwa unajua ni sh ngapi
Kuna mtu namjua nilimsearch kwenye internet kujua tu ishu zake na publication zake nikashangaa hadi mshahara ukaja. Si unaonaga hata mishahara ya wachezaji ulaya ipo wazi lakini bongo ni siri.bro nje sehemu gani maana nimeishi nchi a ulaya kama 10... nikupe kituko.. nilikaaa birmingham na wafanyakazi wa serikali wanawake wote walikuwa wanalipwa kiasi kidogo kuliko wanaume. wakaja gundua miaka ya 2015 wakagoma wakadai iongezwe wakati imekuwa hivyo miaka takriban 70.. ndo wakawekwa mishahara sawa leo hii. google that. leo wewe uko hapa unasema mishahara ya nje iko kwenye website... hahaha andika basi io website hapa
Kuongea siyo kuandika...,bongo sidhani kama kuna air hodtese wanaolipwa zaidi ya dolla 1000 or 800. thats the hihgest
bro nje sehemu gani maana nimeishi nchi a ulaya kama 10... nikupe kituko.. nilikaaa birmingham na wafanyakazi wa serikali wanawake wote walikuwa wanalipwa kiasi kidogo kuliko wanaume. wakaja gundua miaka ya 2015 wakagoma wakadai iongezwe wakati imekuwa hivyo miaka takriban 70.. ndo wakawekwa mishahara sawa leo hii. google that. leo wewe uko hapa unasema mishahara ya nje iko kwenye website... hahaha andika basi io website hapa
Mbona mishahara ya wacheza mpira wa ulaya tunaijua ?Kwani kuna nchi gani ambayo mshahara sio siri ya mtu?
Vp watoto wa kitasha hajachukua mkuu ? They dont black bamboo ? Lakini birmingham wahindi pia wako wengibro nje sehemu gani maana nimeishi nchi a ulaya kama 10... nikupe kituko.. nilikaaa birmingham na wafanyakazi wa serikali wanawake wote walikuwa wanalipwa kiasi kidogo kuliko wanaume. wakaja gundua miaka ya 2015 wakagoma wakadai iongezwe wakati imekuwa hivyo miaka takriban 70.. ndo wakawekwa mishahara sawa leo hii. google that. leo wewe uko hapa unasema mishahara ya nje iko kwenye website... hahaha andika basi io website hapa
Kwani hii ya huku ni mishahara ama tips?kama UK.. mshahara wa Aubameyang hakuna hata ambao haujui
Mhhhh apo nimekuelewaAir hostess Bongo ni platform ya kupata Mabwana/mapedejee/wazungu aka KUDANGA
Nenda kwa Ras Simba huwa anatoa punguzo na anakwambia hata kama una kichwa kigumu kwao utaelewa tu!ahsante. nipe hela nkasome chuo niwe naongeza pathetic kama wewe
Nchi hii tumeuzwa bila kujua toka miaka hiyo,ukitaka kujua nenda nchi yoyote utajiongeza mwenyewe.hata nje mshahara ni siri yako ...wachache sana wanasema labda wakiwa maceleb au nyadhifa za serikali
poaILA HAWA MACABIN CREW NI WAREMBO ASEH, KWANZA MAISHA YAO NI KWENYE NDEGE, HOTELINI, NYUMBANI HAKAI SANA.. MUDA WOTE ANANAWIRI.. NITAKUJA KUOMBA NAMBA, JAPO MARA MOJA.
Zipo nyingi sana,Kwani kuna nchi gani ambayo mshahara sio siri ya mtu?
siri ya ninii, ninii faida yakeee x 2Kiherehere gani kikakufanya umtolee mfano Aubameyang wakati kuna wachezaji wengi EPL!?..
Turudi kwenye mada mshahara wa mtu ni siri yake!..
mmmh ngoja nikae kimya maana watakuja wazee wa [HASHTAG]#TheGovernment[/HASHTAG] mi sitaki kua shaidi aseeeKwani hii ya huku ni mishahara ama tips?