Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,465
- 2,143
Kama msichana ni mkali hawezi kuwa na rahisi na kama akiwa rahisi hawezi kuwa mkali na kama unastahili kuwa na hiyo msichana huwezi kukata tamaa na ukikata tamaa jua kwamba hustahili kuwa na hyo demu ukweli ni kwamba kila mtu atakuumiza lakn jaribu kumtafta mtu ambaye utaweza kumvumilia.
Bob Marley once said.
Its not over until its over...
Bob Marley once said.
Its not over until its over...