Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,257
- 5,327
Hilo baraza la ushauri la wazee lilikuwa wapi wakati ujambazi mkubwa mkubwa ukitendeka na mawaziri wa serikali kuanzia enzi za Meremeta hadi Escrow
Bora hata lisiwepo maana naona lipo busy kushauri mbinu mpya za kulinda ufisadi kwa sababu wananufaika nao
Bora hata lisiwepo maana naona lipo busy kushauri mbinu mpya za kulinda ufisadi kwa sababu wananufaika nao