Kama CHADEMA ingekuwa CCM, ni wazee gani wanaweza kuunda Baraza la Ushauri la Wazee?

Mkuu, yaelekea kuwa hawa CHADEMA hawajui hata maana ya wazee. Kuna wakati nimesikia wakimuita Mbowe eti ni Mzee
Suzan Lyimo kazaliwa August 1964 hivyo ana umri wa miaka 51 jee huyo yuko kundi gani? Wazee au vijana? Maana kuna makundi matatu tuu kwa binadamu. Watoto, vijana na wazee. Sasa kama yuko kundi la vijana basi tuambie hao vijana ukomo wao ni umri gani.
Kama wewe unadhani Chadema inatambua wazee kuwa ni wale waliofikisha umri wa Kingunge basi umekosea kabisa. Chadema haisubiri mtu awe kama Kingunge (na zile muitazo busara zake) halafu afikie kushindwa kushauri vijana na wazee wenzake zaidi ya kuwavuruga.
HIVI KINGUNGE BADO MNAMWITA HAZINA YA WAZEE HUKO CCM?
 
Wamo humuhumu ndani ya JF. Kuna Great thinkers pro Chadema humu ambao nikisoma threas zao naona wana hekima ya kubwa ifaayo kushauri mambo. Tafuta utawaona!
 
Wamo humuhumu ndani ya JF. Kuna Great thinkers pro Chadema humu ambao nikisoma threas zao naona wana hekima ya kubwa ifaayo kushauri mambo. Tafuta utawaona!
Wenye busara unaowaona humu sidhani kama wanaingia kwenye siasa za moja kwa moja, sababu ya mizengwe na ubabaishaji unaoambatana na siasa za kivyama. . . .
 
Weston Songoro

Experience ya familia yako ndiyo unaileta katika siasa?

1. Mzee ni nani?
2. Ni busara zipi za "wazee wa CCM" zilizojenga chama?
3. Busara ya wazee wako iko wapi kwa Upuuzi ninaouona ndani ya CCM;
-Kila mtu kuwa msemaji.
-Ufisadi wa viongozi wa vyama
-Kupeana madaraka kwa watoto wa viongozi wa CCM ndani ya chama
-Maadili kushuka kwa viongozi wa CCM kutukana ovyo, kukejeli wananchi.
-Kuisema 'Serikali ya CCM' waziwazi kwa wagombea ikiwa hao wagombea ni viongozi ndani ya chama au ndani ya 'serikali ya CCM'.
-Kutumia fedha nyingi kwa kila mgombea(mtangaza nia) ndani ya chama hiki hiki ili kuingia ikulu(refer Busara na maneno ya Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere kuhusu kuingia ikulu kwa fedha n.k)

4. Nitajie mfano wa vyama duniani leo, katika ulimwengu wa siasa leo popote duniani ambapo kutokuwa na "wazee" kumewafanya wakashindwa kuendesha nchi, au kukosa 'harmony' ndani ya chama.
5. Je, unadhani enzi hizi ni enzi za kuangalia "uzee" au busara na hekima ya mtu?
 
Last edited by a moderator:
Experience ya familia yako ndiyo unaileta katika siasa?

1. Mzee ni nani?
2. Ni busara zipi za "wazee wa CCM" zilizojenga chama?
3. Busara ya wazee wako iko wapi kwa Upuuzi ninaouona ndani ya CCM;
-Kila mtu kuwa msemaji.
-Ufisadi wa viongozi wa vyama
-Kupeana madaraka kwa watoto wa viongozi wa CCM ndani ya chama
-Maadili kushuka kwa viongozi wa CCM kutukana ovyo, kukejeli wananchi.
-Kuisema 'Serikali ya CCM' waziwazi kwa wagombea ikiwa hao wagombea ni viongozi ndani ya chama au ndani ya 'serikali ya CCM'.
-Kutumia fedha nyingi kwa kila mgombea(mtangaza nia) ndani ya chama hiki hiki ili kuingia ikulu(refer Busara na maneno ya Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere kuhusu kuingia ikulu kwa fedha n.k)

4. Nitajie mfano wa vyama duniani leo, katika ulimwengu wa siasa leo popote duniani ambapo kutokuwa na "wazee" kumewafanya wakashindwa kuendesha nchi, au kukosa 'harmony' ndani ya chama.
5. Je, unadhani enzi hizi ni enzi za kuangalia "uzee" au busara na hekima ya mtu?
Unatokwa mapovu , angalia pembeni mdomo wako unatoa harufu.
 
Suzan Lyimo kazaliwa August 1964 hivyo ana umri wa miaka 51 jee huyo yuko kundi gani? Wazee au vijana? Maana kuna makundi matatu tuu kwa binadamu. Watoto, vijana na wazee. Sasa kama yuko kundi la vijana basi tuambie hao vijana ukomo wao ni umri gani.
Kama wewe unadhani Chadema inatambua wazee kuwa ni wale waliofikisha umri wa Kingunge basi umekosea kabisa. Chadema haisubiri mtu awe kama Kingunge (na zile muitazo busara zake) halafu afikie kushindwa kushauri vijana na wazee wenzake zaidi ya kuwavuruga.
HIVI KINGUNGE BADO MNAMWITA HAZINA YA WAZEE HUKO CCM?
Mzee hazai, huyu mama si ametoka kutaga juzi tu?
 
jaman umri wa ccm uwez ukaulinganisha na chadema 2jiulize leo wanachama weng wa umri kuanzia miaka 45 na kuendelea weng walikuwa ccm nyuma ya mwaka 1992 wkt leo wazee wa ccm kpnd ccm inaanza walikuwa ktk kundi la vjana bt leo ni wazee leo ufanya utafiti utagundua ni wazee wachache sana wenye kuamini mabadiliko weng ni zidumu fikra za mwalimu leo weng watakwambia ccm ndo imenilea so 2najiuliza wote walikuwa wanakaa mtaa wa lumumba au wazaz wao walikuwa wapi wkt ccm inawalea wakat huyo huyo mwalim alishawah kusema ccm c baba wala mama yake leo vjana wa chadema leo miaka 40 ijayo watakuwa wazee same to ccm
 
Back
Top Bottom