CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 646
Maridhiano ni TABIA YA WAUNGWANA NA WASTAARABU!Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.