DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
2020 nadani ndo mwaka uliomake history kuliko miaka yote na hii imetokana na uwepo wa covid-19.
Kuna watu tumekaa ndani mpk sasa wengine tumeweza kupika mpk chapati za kusukuma(joking)
Binafsi huu mwaka ungekuwa ni chakula basi me naupa jina la ile mikate iliokuwa ikitumik kipindi cha Yesu.
Vipi wewe unaupa jina la chakula gani??!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu tumekaa ndani mpk sasa wengine tumeweza kupika mpk chapati za kusukuma(joking)
Binafsi huu mwaka ungekuwa ni chakula basi me naupa jina la ile mikate iliokuwa ikitumik kipindi cha Yesu.
Vipi wewe unaupa jina la chakula gani??!
Sent using Jamii Forums mobile app