ni babu mshamba toka mara anayejifunza mipasho ya uswahilini! ni aibu kuwaacha watu wa aina ya werema ktk nafasi nyeti na kuwalipa kwa kodi zetu,ni dharau ya serikali kwa wananchi,au ni mbunge wa viti maalum baraza wazee ccm? atafute jimbo huko kwa wahasira ameezeka atamwachia 2015