Mbona askari hawana gloves?Ndege aina ya UNGO237-8 ya shirika la ndege la WANGA AIRLINE imetua kwa dharula juu ya pa la nyumba mkoani Iringa kufuatia hitilafu kwenye injini.Hakuna majeruhi.View attachment 1184941View attachment 1184942View attachment 1184943View attachment 1184944
Hahaha!....hata kwenye zege au kuchimba msingi mara nyingi ni wanaume.Mbona marubani wa hizi ndege wengi ni wanawake!