Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,097
- 2,608
Kulikuwa na watu watatu, ambao walikuwa mabaghili kupita kiasi. Siku moja walikwenda baharini, wakaamua wafanye mashindano ya kuzamia ndani ya maji.
Wakawekeana masharti yafuatayo: Atakae ibuka mwanzo awape offer wale wenziwe, hali ya kuwa wote ni Mabaghili!!! . Wakaingia ndani ya maji na kuaza kuzamia, mpaka leo hakuna aliyekuja juu. Kwa kuhofia kuwapa offer wenziwe, walikhiyari wafe.
Wakawekeana masharti yafuatayo: Atakae ibuka mwanzo awape offer wale wenziwe, hali ya kuwa wote ni Mabaghili!!! . Wakaingia ndani ya maji na kuaza kuzamia, mpaka leo hakuna aliyekuja juu. Kwa kuhofia kuwapa offer wenziwe, walikhiyari wafe.