Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,420
- 36,595
Maana hayo ni maisha binafsiHata na mie nimewaza hivyo. Wamemuonea aisee.
Maana hayo ni maisha binafsiHata na mie nimewaza hivyo. Wamemuonea aisee.
Kabisaaa!!Maana hayo ni maisha binafsi
Kama Chadema, Mtei na Mkwewe.Huo ndo uanamme sasa...yan had hapo rais wa hyo timu ni baba mkwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezaji wa kimataifa wa Nigeria Joseph Donatus Edafe, amefukuzwa toka timu ya ND Gorica ya Slovenia baada ya kumtia mimba mtoto wa rais wa timu hiyo miezi sita baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatuView attachment 1289851