Sasa anamtimua Mkwe? Huo ni uonezi maana ni maisha binafsiMchezaji wa kimataifa wa Nigeria Joseph Donatus Edafe, amefukuzwa toka timu ya ND Gorica ya Slovenia baada ya kumtia mimba mtoto wa rais wa timu hiyo miezi sita baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatuView attachment 1289851
AmeonewaMkataba umevunjwa kwa kigezo kipi?
Au kulikuwa na kipengele kuwa ukimpa mimba mtoto wa rais unatimuliwa?
Naona hilo swala limekaa kibaguzi zaidi, sidhani kama angekuwa mzungu hayo yangetokea.
Hata na mie nimewaza hivyo. Wamemuonea aisee.Ameonewa