mcmalck
Senior Member
- May 25, 2012
- 134
- 57
Habari zenu wakuu! Naomba kutengeneza hii thread maalum kwa ajil ya hii operating system, mim nimeanza kuitumia siku chache zilizopita lakini nilichokuja kuipendea mbali na kuwepo kwa tools nyingi za penetrations testing (hacking), lakini intrested things ni kuwa inakuja na prog nying built in ka VLC, na drivers za wireless. N.k
Karibun wadau tuizungumzie...
Karibun wadau tuizungumzie...