fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,902
- 2,405
Naandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa kwa hali hii inavyoendelea sasa ya kukatika kwa umeme.
Binafsi shughuli zangu zinahitaji uwepo wa umeme kwa 100%.
Wakati wa Kalenani hata ikitokea umene unakatika basi hayazidi masaa matatu na hilo hutokea kwa mwezi mara moja.
Lakini toka aje huyu Waziri mpya binafsi sijaona tija yoyote iliyoletwa nae kwenye wizara hii. Mh. Rais tunaomba utusaidie kufanya mabadiliko uturejeshee Kalemani. Tukishasahau haya mambo ya kukata kwa umeme.
Shughuli zetu zimesimama hatuna tunalolifanya. Mh. tunaomba usikie kilio chetu hii wizara inamfaa yule aliyeondoka.
Huyu aliyepo ungempa wizara ya mazingira sio hii haiwezi.
Binafsi shughuli zangu zinahitaji uwepo wa umeme kwa 100%.
Wakati wa Kalenani hata ikitokea umene unakatika basi hayazidi masaa matatu na hilo hutokea kwa mwezi mara moja.
Lakini toka aje huyu Waziri mpya binafsi sijaona tija yoyote iliyoletwa nae kwenye wizara hii. Mh. Rais tunaomba utusaidie kufanya mabadiliko uturejeshee Kalemani. Tukishasahau haya mambo ya kukata kwa umeme.
Shughuli zetu zimesimama hatuna tunalolifanya. Mh. tunaomba usikie kilio chetu hii wizara inamfaa yule aliyeondoka.
Huyu aliyepo ungempa wizara ya mazingira sio hii haiwezi.