Broo usihangaike nao hata mwanza wameshabakia wale wakongwe! Kahama geita,katoro hakuna mtu anahangaika nao!Waulize wachaga wako wangapi Bariadi kwa Nyoka wa makengeza, walijaribu kuja biashara za utapeli wakatoka nduki.
Broo usihangaike nao hata mwanza wameshabakia wale wakongwe! Kahama geita,katoro hakuna mtu anahangaika nao!Waulize wachaga wako wangapi Bariadi kwa Nyoka wa makengeza, walijaribu kuja biashara za utapeli wakatoka nduki.
Lake zoners tutawashikisha ukuta 2025.Wachagga mna matatizo sana! Nyie ndiyo mnao tuletea siasa hizi za maji taka!
Yani wamebaki wakongwe kwahiyo hawa sio Wachagga!!!....Nenda Bugando hospital kaangalie madaktari na nurses wapo wangapi?!..Wewe unadhani Hadi usikie katokea Kilimanjaro!!..Tuna wajua Kwa Majina Yao ya Mwisho (Koo)Broo usihangaike nao hata mwanza wameshabakia wale wakongwe! Kahama geita,katoro hakuna mtu anahangaika nao!
Mbona hamkusema kikwete alipomfanya mtoto wake awe mbunge..Mkuu bado uko ulaya?
Haya mambo ya ukabila na upendeleo yako wazi sana.
Una mfahamu Doti James-mpwa wa Magufuli aliyekuwa katibu mkuu Fedha na Paymaster General?
Unahitsji uthibitisho gani uamini uozo wa kundi hilo la Chato?
Historia ya wachaga waliopewa vyeo jinsi walivyofanya ufisadi Mwendazake hakupenda akawaweka kando.Hii Nchi Ina wapumbavu wengi sana mchakato wa ajira ulivyo ukiweka watu wako Nchi nzima sizani Kama wanaweza kufika hata 100 maana kazi nyingi hasa tanesco Ni zile za kupanda tu vyeo ..
Mambo ya sijui unaweka watu wako kwa miaka 4 huu Ni uzushi labda Kama aliweka weka mafundi maana ndio ajira nyingi za tanesco.
Ila kusema eti unaweka watu wako kwenye engineer au wafanyakazi walio kwenye payroll ya utumishi huu Ni uposhoji mkubwa Sana!!
Vijana tunachuki Sana za ukabila zisizo na maana hasa Wasukuma na Wachaga wamekuwa na shida Sana nowdays ya kupenda kushindana sijui why!
Bugando usidanganye watu hapo ni mchanganyiko tena kwa taarifa yako wengi staff ni kanda ya ziwa hata dr Masaga mkurugenzi ni wa huko hata msaidizi wake ni wa huko mwanza! Aliyekuwa mkurugenzi ni Dr Makubi naye ni wa mwanza! Hizo stori nakwambia zilipendwa kubali yaishe!Yani wamebaki wakongwe kwahiyo hawa sio Wachagga!!!....Nenda Bugando hospital kaangalie madaktari na nurses wapo wangapi?!..Wewe unadhani Hadi usikie katokea Kilimanjaro!!..Tuna wajua Kwa Majina Yao ya Mwisho (Koo)
Umemaliza kila kitu hakuna nyongeza.Mbona hamkusema kikwete alipomfanya mtoto wake awe mbunge..
Enzi za nyerere maaskari wengi walikuw wanatoka wap?
Wasukuma ni wengi kivyotevyote vile wakiteuliwa wengi inaonekana ukabila.
wakisema wateue kwa uwiano wasukuma wangap watateuliwa?
Context ya ukabila ni kwamba kufanya kitu kunufaisha kabila lako
Magufuli kafanya nin ambacho wasukuma wamenufaka nacho kuzid makabila mengine
Wasukuma wako zaidi ya mil 10 walioteuliwa hawazidi hata 100 acheni siasa na propaganda mfu,
Hazina faida kwa ccm wala kwenu ispokuw hasara.
Mimi najua wapo wengi hapo na sio hapo tu hospital zote kwanzia za vijijini huko!!..Ndio maana nimesema Sekta zote ndio wapo wengi kwasababu wao waliikumbatia Elimu Kwanza wakaacha mambo yenu ya kubagua Kazi na jinsiaBugando usidanganye watu hapo ni mchanganyiko tena kwa taarifa yako wengi staff ni kanda ya ziwa hata dr Masaga mkurugenzi ni wa huko hata msaidizi wake ni wa huko mwanza! Aliyekuwa mkurugenzi ni Dr Makubi naye ni wa mwanza! Hizo stori nakwambia zilipendwa kubali yaishe!
Katoro mji wa kibiashara kuwaona ni ngumu Kama kumuona kakakuona.Broo usihangaike nao hata mwanza wameshabakia wale wakongwe! Kahama geita,katoro hakuna mtu anahangaika nao!
Kwasababu hawa kusoma au ndio Una pigia mstari!!!..Una danganya hapa Jeshi la polisi na JWTZ hata JKT wakati huo walikua wakuria na Wanyamwezi!!.. Wasukuma wao walikua wanakimbilia kuchungaUmemaliza kila kitu hakuna nyongeza.
Eti Rais akutumbue afu akwambie kosa, wewe ni nani hasa? Unaweza tumbuliwa bila hata kosa,kwani lazima wewe tuu?Hili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!
Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike
Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco
Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco
Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa
Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco
Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?
Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?
Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon
Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....
Kunishughulikiaje kiazi wewe!!Ndio maana mods wanakushughulikia maana kichwa chako hamna kitu
Ulitaka wasiwepo niambie hospital gani kubwa nchi hii haina doctor msukuma? Hata hapo Lutheran hospital arusha kuna madoctor bingwa wasukuma! Best saizi wasukuma sio wakubezakama miaka ya nyuma sio level unayodhani!Mimi najua wapo wengi hapo na sio hapo tu hospital zote kwanzia za vijijini huko!!..Ndio maana nimesema Sekta zote ndio wapo wengi kwasababu wao waliikumbatia Elimu Kwanza wakaacha mambo yenu ya kubagua Kazi na jinsia
kama wasukuma hawakusomaKwasababu hawa kusoma au ndio Una pigia mstari!!!..Una danganya hapa Jeshi la polisi na JWTZ hata JKT wakati huo walikua wakuria na Wanyamwezi!!.. Wasukuma wao walikua wanakimbilia kuchunga
Wasukuma sijasema hawapo lakini ni wachache sana!!..Tunaongelea kwanzia chini kabisa hapa!!..Ukienda vyuo vikuu utajua nini naongeleaUlitaka wasiwepo niamb8ehospital gani kubwa nchihii haina doctor msukuma? Hata hapo Lutheran hospital arusha kuna madoctor bingwa wasukuma! Best saizi wasukuma sio wakubezakama miaka ya nyuma sio level unayodhani!
Wewe ndio Una mahaba!!..Umeenda vijiji vya usukumani huko au unataka uonekane umetukanwa!!kama wasukuma hawakusoma
Kwahiyo waliokuwa wamesoma ni watu wa Mara tu?
Acha mahaba ya kijinga
Hivi wewe unaweza kudiriki kusema vyuo vikuu wasukuma sio wengi? Wewe unapewa stori vijiweni hakuna kabila lenye watu wanafunzi wengi chuoni kuzidi wasukuma saiz! Endelea kubishana!Wasukuma sijasema hawapo lakini ni wachache sana!!..Tunaongelea kwanzia chini kabisa hapa!!..Ukienda vyuo vikuu utajua nini naongelea
Nyie ndio wakabila na kama ajenda yenu itafanikiwaWasukuma sijasema hawapo lakini ni wachache sana!!..Tunaongelea kwanzia chini kabisa hapa!!..Ukienda vyuo vikuu utajua nini naongelea