FUKO LA DHIKI
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 463
- 146
Mmmh! Uchafu na fungus ndio zinasababisha harufu ukeni
Harufu inatokana na kujisafisha umesimama au harakaharaka...sisi wasichana unatakiwa uoshe sana k kuliko sehemu nyingine yoyote...so akienda kuoga aandae ndoo ndogo yenye maji safi ahakikishe mikono misafi...kisha aoshe kwa sabun ya jamaa au any non medicated soap kwakua ukitumia medicated inaweza kukuletea rashes na magonjwa mengine...iyo ni kwa nje aoshe sana ili sabun isibaki...then aingize kidole nusu cha kati au kinachofata badala ya chakati...amwage maji mengi kuelekea huko....maji yanatakiwa yawe mengi sana...yanapendekezwa yawe ya baridi kwakua ya moto yanasababisha kutanuka kwa k kwa kua kule pako kama rubber....then lastly kabsa kama mwanamke ana mavuzi mengi then ni moja ya kunuka coz akiswet sana na zile nywele lazima atoe harufu...akifanya ivyo chupi yake itakua safi na atanukia murua...na pia baada ya kuoga apake mafuta ya mgando juu ya k kuepusha ngozi kua ngumu na nyeusi....binafsi ndo nnachofanya sijapata malalamiko yoyote....bila kusahau kila baada ya kumaliza round aoshe k ndo muendelee...
Umeongea kiujumla ina maana ume sex nao wote?Sample yako si ni wasichana ulio sex nao ukakusanya namba nyingi walionuka ndipo ukafikia tamati?
Ingelikuwa haki ungesema ulio kutana nao utafanyaje kuondoa harufu mbaya ulio ikuta kwenye uchi zao!
Kuna K zinanukia unatamani uweke ubwabwa juu ule!Kwa msichana wangu bila kuweka pua kwenye papuchi yake ni absorb ile harufu murua siwezi pata usingizi
Mmmh! Uchafu na fungus ndio zinasababisha harufu ukeni
bora imekuwa hivyo lohNa ndio mana sikuwa dada yako!
Nashukuru kwa ushauri wako, bila shaka utawasaidia dada zako wenye hiyo shida
vipi lkn umeisafisha inavopaswa? au bado uvundo unaendelea
try doggy... ata awe hana utaisikia tu
hahahaha jirani huu uzi si wa zamani jamani we umeuamsha tena khaaaaaaaaaaMmmh...!
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya kueleweka kichwani mwangu.
Hakuna asiye jua kuwa wanawake huwa wana kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu zao.
Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na sabuni na njia nyingine nyiiingi.
Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako?
Maana nasikia nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke.
mweeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!Hao unaokutana nao wewe wanakuwa wagonjwa maana
Ke usipokuwa msafi ni rahisi sana kupata magonjwa km fungus na mengineyo.
Lkn ukutane na Ke smart km mm hiyo harufu unayosema ww ni historia.
Hao unaokutana nao wewe wanakuwa wagonjwa maana
Ke usipokuwa msafi ni rahisi sana kupata magonjwa km fungus na mengineyo.
Lkn ukutane na Ke smart km mm hiyo harufu unayosema ww ni historia.
acheni ubishi hicho kiarufu kipo.. Japo sio kila mwanamke anacho, ila wengi wanacho. Hata uwe msafi vipi kama unacho basi ndio hivyo unacho tuu... Halafu wanawake lazima muwe wabishi katika hili maana hata harufu iwe kali vipi nyie huwa hamuisikii.. Wanaume ndio wanaoisikia so acheni ubishi.. Pia nasikia wanawake wanene ndio wanaongoza kwa viharufu kuliko wembamba.